Aje aseme upuuzi wake tena sasa. Asante sana mkuuHii hapa Mkuu.View attachment 875369
Asante mkuu, wengine tuko katikati ya majonzi.Kujipendekeza kwetu kunafisha hadi dhamiri za nafsi zetu. Tunakuwa watu wa ajabu mno tusiojali hata maumivu na majonzi ya wengine.
Mungu atuhurumie
Pole mkuuAsante mkuu, wengine tuko katikati ya majonzi.
Asante sana, pole na wewe kwa kushiriki majonzi yetu.Pole mkuu
Naweza kukutukana nikaonekana mbaya. Unasema kivuko hakina vyumba? Niulize mimi mzawa wa UKARA na ambaye ferry hii ilikuwa ndio usafiri wangu wa kila siku ama kutoka UKARA kwenda kwingineko au kuja UKARA. Eti kivuko hakina vyumba. Kichwa chako kina makaratasi na acha kiki za kisiasaNimesikiliza clip ya video iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha mwenyekiti wa chadema freeman mbowe akipotosha kuhusu swala la kuahirishwa shughuli za uokozi kwasababu ya giza. Ukweli tofauti na Mbowe anavyotaka tuamini ni kuwa;
Kivuko kimezama saa nane mchana. Shughuli za uokozi zimesitishwa saa
1 usiku. Kivuko hakina ndani (Vyumba) maana yake baada ya ajali watu wote walimwagwa kwenye maji. Na kama anavyosema Mbowe kivuko hakikuzama mbali na pwani maana yake tangu saa 8 mpaka saa 1usiku walio hai walishaokolewa ilibaki kazi ya kuopoa miili.
Kwa kawaida miili huwa inaelea yenyewe baada ya muda either pale pale eneo la ajali au mbali zaidi. Kuahirisha shughuli ni ili kuopoa maiti zilizoenda mbali katikati ya ziwa.
Mbowe aache siasa za matukio. Mnyika alishatoa salamu za rambirambi hakukuwa na sababu ya mwenyekiti kuja kutafuta kiki tena.
Tatizo la Mbowe na vijana wake John Mrema, Reginald Munisi, Godbless Lema, Msigwa, Sugu n.k ni Group of Boys (Tundu Lissu observation) na ni akili ndogo.
Matukio= Agenda
Hivi matusi huwa yanakuwekea Ugali mezani.Dawa yako inachemka lazima upigwe mimba hedhi inakutoa ufahamu sana.
Hiiiii!Jinga lingine hilo
Engine room, kiswahili chake ni nini? Inaonekana huna ufahamu juu ya boat au ferry. Mie niliyewahi kusafiri na kivuko hicho nakuhakikishia kuwa kuna vyumba. Na hutumika mara nyingi kwa ajili ya manahoa na watumishi kupumzikia. Na kwa taarifa yako, hata huko kwenye chumba cha engine, usifikiri ni kijichumba kidogo, ni eneo kubwa na lenye nafasi kulingana na ukubwa wa kivuko chenyewe. Hivyo, wacha kupotosha. Mbowe alikuwa sahihi. Nd ndo maana hata mchana huu, wazamiaji wameopoa mwili mwingine wa mwanamke na kufanya idadi ya maiti wa kike kuongezeka.Engineer ambaye aliingia kwenye engine room!
Nimesikiliza clip ya video iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha mwenyekiti wa chadema freeman mbowe akipotosha kuhusu swala la kuahirishwa shughuli za uokozi kwasababu ya giza. Ukweli tofauti na Mbowe anavyotaka tuamini ni kuwa;
Kivuko kimezama saa nane mchana. Shughuli za uokozi zimesitishwa saa
1 usiku. Kivuko hakina ndani (Vyumba) maana yake baada ya ajali watu wote walimwagwa kwenye maji. Na kama anavyosema Mbowe kivuko hakikuzama mbali na pwani maana yake tangu saa 8 mpaka saa 1usiku walio hai walishaokolewa ilibaki kazi ya kuopoa miili.
Kwa kawaida miili huwa inaelea yenyewe baada ya muda either pale pale eneo la ajali au mbali zaidi. Kuahirisha shughuli ni ili kuopoa maiti zilizoenda mbali katikati ya ziwa.
Mbowe aache siasa za matukio. Mnyika alishatoa salamu za rambirambi hakukuwa na sababu ya mwenyekiti kuja kutafuta kiki tena.
Tatizo la Mbowe na vijana wake John Mrema, Reginald Munisi, Godbless Lema, Msigwa, Sugu n.k ni Group of Boys (Tundu Lissu observation) na ni akili ndogo.
Matukio= Agenda
Umesema wote walimwagwa kwenye maji...!Engineer ambaye aliingia kwenye engine room!
Dogo usinichikoze nikakuanika hapa.Wewe ndio hunijui sasa.
Unatakaje sasa maana toka umeanza kupiga domo sioni unachokipata.Mimi ndio Mimi Benson Mramba
Wacha kufikiri kwa kutumia makalio arifu.Nimesikiliza clip ya video iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha mwenyekiti wa chadema freeman mbowe akipotosha kuhusu swala la kuahirishwa shughuli za uokozi kwasababu ya giza. Ukweli tofauti na Mbowe anavyotaka tuamini ni kuwa;
Kivuko kimezama saa nane mchana. Shughuli za uokozi zimesitishwa saa
1 usiku. Kivuko hakina ndani (Vyumba) maana yake baada ya ajali watu wote walimwagwa kwenye maji. Na kama anavyosema Mbowe kivuko hakikuzama mbali na pwani maana yake tangu saa 8 mpaka saa 1usiku walio hai walishaokolewa ilibaki kazi ya kuopoa miili.
Kwa kawaida miili huwa inaelea yenyewe baada ya muda either pale pale eneo la ajali au mbali zaidi. Kuahirisha shughuli ni ili kuopoa maiti zilizoenda mbali katikati ya ziwa.
Mbowe aache siasa za matukio. Mnyika alishatoa salamu za rambirambi hakukuwa na sababu ya mwenyekiti kuja kutafuta kiki tena.
Tatizo la Mbowe na vijana wake John Mrema, Reginald Munisi, Godbless Lema, Msigwa, Sugu n.k ni Group of Boys (Tundu Lissu observation) na ni akili ndogo.
Matukio= Agenda
Ukishambiwa ukweli unakimbilia Ohoooo wanapewa hela kusema ukweli, kaingiza hela, Je wewe unalipwa kiasi gani kutetea kauli za kupotosha za Huyo Mbowe aliyefeli mtihani na kupata Division 0 ????Safi! Umeshaingiza siku tayari...
Akili ndogo ni ile inayoweza kuongozwa na Mbowe aliyepata sifuri kwenye kuhitimu shule, hadi leo hana taaluma yeyote zaidi ya UDJKama utashindwa kujifunza kwenye matukio, ambayo yanajirudia hakika wewe na chama chako mnatupeleka shimoni.
Kama umeshindwa kununua taa kwaajili ya kuokoa watu wako, na unaweza kufunga generator kwenye matukio ya mwenge hakika wewe na chama chako mnatupeleka shimoni