Mbowe aachiwa bila dhamana

Nin ini kisichoaminika? amepelekwa mahakamani,baada ya shahuri kusikilizwa alitakiwa apewe mdhamana,hakukuwa na mtu wa kumdhamini nae akawaambia haitaji kudhaminiwa na mtu na hatajidhamini mwenyewe.
Then MAHAKAMA IKAMUACHIA BILA MDHAMANA.mMEELEWA?
 
Kweli tutafika japokuwa nimbali sana. Haya madaraka mtu ukishalewa sijui unakuwa hauoni au hata haufikiri au ndio unatumia "Masaburi" kuifikiria badara ya kutumia akili. Jama hivi si juzi juzi tu vijana wa UVCCM kina Beno Marisa waliandamana Arusha bila ya kibali na uongozi wa CCM Arusha walitaka wakamatwe kwa kuwa hawakuwa na baraka zao wala vibali vyao lakini mkuu wa polisi wa wilaya alishindwa kufanya hivyo?

Tena kesho yake kaimu mkuu wa polisi mkoa akasema wamepata taharifa hivyo watawaonya wasirudie tena. Sasa huyu Rema aliyeamua kutoka mahakamani kwa miguu badala ya kutumia ari kwanini akamatwe na asionywe kama kina Beno Marisa, na ninakumbuka hata yule M/kiti wa UVCCM Arusha yule Milya nae alikwenda na kundi la watu pale polisi lkn hajachukuliwa kama kafanya maandamano.

Haya mambo yanasumbua sana
 
Kweli tutafika japokuwa nimbali sana. Haya madaraka mtu ukishalewa sijui unakuwa hauoni au hata haufikiri au ndio unatumia "Masaburi" kuifikiria badara ya kutumia akili. Jama hivi sijuzijuzi tu vijana wa UVCCM kina Beno Marisa waliandamana Arusha bila ya kibali na uongozi wa CCM Arusha walitaka wakamatwe kwakuwa hawakuwa na baraka zao wala vibali vyao lakini mkuu wa polisi wa wilaya alishindwa kufanya hivyo?, tena kesho yake kaimu mkuu wa polisi mkoa akasema wamepata taharifa hivyo watawaonya wasirudie tena. Sasa huyu Rema aliyeamua kutoka mahakamani kwa miguu badala ya kutumia ari kwanini akamatwe na asionywe kama kina Beno Marisa, na ninakumbuka hata yule M/kiti wa UVCCM Arusha yule Milya nae alikwenda na kundi la watu pale polisi lkn hajachukuliwa kama kafanya maandamano.
Haya mambo yanasumbua sana

kazi kwelikweli mshikaji jifunze kuandika kwa usahihi manene yafuata: badara ni badala,marisa ni malisa,taharifa ni taarifa rema ni lema
 
Hihi ndiyo Tanzania RPC pamoja na RC wanatakiwa warudi shule siyo wanakaa kuongoza kwa ushabiki,kama kakataa dhamana kwa nini hawajampeleka rumande?CHADEMA tutaendelea kusimamia haki hata kama wote tutafunguliwa kesi nchi nzima maaana saa ya ukombozi ni sasa
 
Uongo mtupu. Mahakama haiongozwi kisiasa kama unavyofikiria. Hakuna anayemuogopa Mbowe.
 
Inawezekana mahakama kumwachia mtuhumiwa yeyote bila kuwepo dhamana?Wanasheria tusaidieni.Kama haiwezekani nini credibility ya mtu aliyeleta habari hii?
 
Nin ini kisichoaminika? amepelekwa mahakamani,baada ya shahuri kusikilizwa alitakiwa apewe mdhamana,hakukuwa na mtu wa kumdhamini nae akawaambia haitaji kudhaminiwa na mtu na hatajidhamini mwenyewe.
Then MAHAKAMA IKAMUACHIA BILA MDHAMANA.mMEELEWA?
According to Michuzi,aliachiwa baada ya kukidhi masharti ya mdhamana.
 
Wakuu baada ya kuiona hii thread ilinibidi nimpigie swahiba wangu Mh. Hakimu mmoja Dodoma. Maelezo yake ni kuwa hakimu ana mamlaka ya kumpa dhamana ya masharti mtuhumiwa ama amtake ajidhamini la pia kisheria ana mamlaka ya kuweza kumuachia bila dhamana akijiridhisha upatikanaji wake kuwa hautakuwa wa tabu.

My take: Mh Huyu ameongozwa na busara na weledi wa taaluma yake. Wengine kama aliyesimamia kesi ya Mh Lema alishindwa vp kumuamini mbunge wa eneo analofanyia kazi.

Tafakari! Chukua hatua
 
Uongo mtupu. Mahakama haiongozwi kisiasa kama unavyofikiria. Hakuna anayemuogopa Mbowe.

kama jaji anateuliwa na mwanasiasa kwa nini na taasisi anayoongoza isiendeshwe kisiasa? wacha kujidanganya wewe
 
kazi kwelikweli mshikaji jifunze kuandika kwa usahihi manene yafuata: badara ni badala,marisa ni malisa,taharifa ni taarifa rema ni lema

Na wewe jifunze kuandika sawasawa maneno yafuatayo: manene = maneno na yafuata = yafuatayo
 
Naomba kueleweshwa maana mimi sio mwanasheria!

Hivi inawezekana mtu (mtuhumiwa) akaachiwa bila dhamana?

Kuna dhamana tofauti tofauti: Mtu anaweza kujidhamini mwenyewe au kudhaminiwa na mtu mwingine. Je kama haya mawili hayatokei mtu ataachiwa vipi AU waliomwachia Mh. Mbowe (big up to him) wamevunja sheria? Kama wamekiuka utaratibu ni hatua gani wanaweza kuchukuliwa kisheria?

Ndio. Jibu fupi ndio hilo na sheria yenyewe hii hapa kwa kifupi. Unaweza kusoma zaidi kwenye hii thread: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-sheria-the-law-forum/190252-sheria-ya-dhamana.html
148.-
(1) When any person is arrested or detained without warrant by
an officer in charge of a police station, or appears or is brought before a
court, and is prepared at any time while in the custody of that officer or at
any stage of the proceedings before that court to give bail, the officer or
the court, as the case may be, may, subject to the following provisions of
this section, admit that person to bail; save that the officer or the court
may, instead of taking bail from that person, release him on his executing a
bond with or without sureties for his appearance as provided in this section
 
Inawezekana mahakama kumwachia mtuhumiwa yeyote bila kuwepo dhamana?Wanasheria tusaidieni.Kama haiwezekani nini credibility ya mtu aliyeleta habari hii?
Unashangaa ya mbowe mbona hushangai ya epa waliorudisha pesa za wizi? ukiona manyoya ujue kaliwa usishangae hio ndio serikali ya ccm bwana
 
Naomba kueleweshwa maana mimi sio mwanasheria!<BR><BR>Hivi inawezekana mtu (mtuhumiwa) akaachiwa bila dhamana?<BR><BR>Kuna dhamana tofauti tofauti: Mtu anaweza kujidhamini mwenyewe au kudhaminiwa na mtu mwingine. Je kama haya mawili hayatokei mtu ataachiwa vipi AU waliomwachia Mh. Mbowe (big up to him) wamevunja sheria? Kama wamekiuka utaratibu ni hatua gani wanaweza kuchukuliwa kisheria?
<BR>Pia mimi sio mwanasheria ila nimewahi kusikia hakimu anapotaka kufanya maamuzi anaweza kutumia vitu vitatu
<OL>
<LI data-cke-expando="72">Sheria/ katiba ya nchi au</LI>
<LI>Hukumu nyingine iliyowahi tokea ambayo kosa lina fanana na </LI>
<LI>Busara; akizingatia kuto vunjika kwa amani kunakoweza kujitokeza</LI></OL>
<P>Nadhani hapo hakimu ametumia busara</P>
 
Back
Top Bottom