Mkuu siku hizi fashion ni "Single Button", au hukuiona ile suti ya Messi alipokua anapokea tuzo ya Mwanasoka bora wa Dunia 2012/2013?Sio kwa marais tuu bali hiyo ni sheria ya uvaaji wa suti. wasiojua ndio hufunga vifungo vyote kama jacket la mvua.
Hapo vasco anasema vien she nu tanzani ili ya bukuu de zanimo suvage, vu puve les prandi kom vu vule, e le sitoyan kone rien, alor ne enkiete pa (yaani, karibuni tanzania kuna wanyama pori wengi sana mnaweza kuwabeba vile mtakavyo na wananchi hawafahamu lolote, kwa hiyo msiogope)
Yani hapo jamaa anatamani amalize tu kuongea waondoke maana ni full theeeee....... theeee.... u know what....... i like to say....... !!!! full kujing'ata ng'ata.
Si unajua amezoea kuandikiwa na wakina Jan Makamba na yule Proffesa............