Mbona wabunge wa CCM wanakumbana na aibu kubwa Sana majimboni kwao?

Watz hawapendi ugomvi ila ukiwazingua..wanakususia..subiri hichi kizazi cha jobless kijazane kitaa ndio watajua hawajui..hizi ni dalili mbaya sana kwa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sanaView attachment 2135981
View attachment 2136014
Wabunge wa mchongo wa mwendazake
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sanaView attachment 2135981
View attachment 2136014
Ni kawaida tu Mkuu

Huoni kuwa ni msimu wa kilimo huu wananchi wapo busy mashambani
 
Mpaka muda huu teknologia ilivyokuwa bado Kuna mbunge anafikiria kukusanya watu waache shughuli zao kwenda kumpigia makofi? Wabunge waombe vipindi kwenye tv waonyeshe kazi zao na Kila Jimbo kuwe na screen kubwa kama za matangazo Ili wabunge wawe wanapositi kazi zao hapo kwenye screen tuwe tunaangalia wenyewe tunawapima kazi zao kwa muda wetu.
 
Hali ni tete kwa wabunge wa CCM wanaoenda majimboni kwao, kufanya mikutano ya hadhara na wananchi wao. Katika hali ya kushangaza wabunge wa CCM waliopata kura za kihistoria kwa kupata ushindi mkubwa, wanakosa kabisa ata kukusanya watu 50

Wiki iliyopita Prof Mkenda alienda Rombo kufanya mkutano, alikosa watu kabisa,ikabidi mkutano aachane nao.

Jana Mbunge wa Nyamagana Mabula amepata aibu ,ya karne kwa kukosa watu kwenye mkutano wake, yaani pamoja na ukubwa wa Nyamagana bado Mabula alikosa ata watu 50 wa kumsikiliza, imebidi ahairishe mkutano.

Jana Prof Kitila mkumbo alipata aibu ya mwaka, pale alipokosa watu kwenye mkutano wake wa hadhara, yaani pamoja na jimbo la ubungo kuwa na watu wengi, Mkumbo amekosa ata watu 50 wa kuwahutubia.

Tatizo liko wapi kwa baadhi ya wabunge wa CCM kukosa kabisa uungwaji mkono kutoka kwa Raia, wakati walichaguliwa kwa kura nyingi sanaView attachment 2135981
View attachment 2136014
Wananchi hawana matumaina na serikali yao kuwaletea maendeleo.

Kimsingi ni Rahisi sana kwa sasa kupata mapokezi ukienda Dubai kuliko ukienda mkoani.

Kitaa watu wanapambana na hari yao hawana mda na serikali.
 
Hao ni wabunge walioteuliwa hawakuchaguliwa na wananchi,na aliwateua ameshafariki,sasa wananchi waende kumsikiliza atawaambia nini?
 
Watz hawapendi ugomvi ila ukiwazingua..wanakususia..subiri hichi kizazi cha jobless kijazane kitaa ndio watajua hawajui..hizi ni dalili mbaya sana kwa ccm.

#MaendeleoHayanaChama
Tena mbaya sana
 
Mpaka muda huu teknologia ilivyokuwa bado Kuna mbunge anafikiria kukusanya watu waache shughuli zao kwenda kumpigia makofi? Wabunge waombe vipindi kwenye tv waonyeshe kazi zao na Kila Jimbo kuwe na screen kubwa kama za matangazo Ili wabunge wawe wanapositi kazi zao hapo kwenye screen tuwe tunaangalia wenyewe tunawapima kazi zao kwa muda wetu.
Ata America watu wanajazana kuwasikiliza wabunge wao
 
Back
Top Bottom