Mbona vyombo vya habari vimesita kuongelea vurugu za Mbeya na UDSM?

Unaposema imepewa coverage ndogo sijui ulitaka iwe vipi!. Taarifa ya habari ni dk kumi unataka wazungumzie udsm na mbeya tu, au ulitaka kuwe na kipindi maalum.

Kuhusu magazeti, ulikuwa unataka watoe toleo maalumu.
 
Ata mie ckuzsikia ata kdogo, baat nzuri nkazkuta um jf ndo nkawa updated...taarifa zote za habar hasa za tbc hua hazko upande wa mwananchi... Nimechunguza kwa wiki nzima taarifa lazma inasehemu inayosema hivi.."rais kikwete ame___" na "serikali imechukua hatua za__" badala ya kuweka pia taarifa za wananchi kimapana kama hii ya mbeya
 
Ha! Ha! Ha! Baada ya kuwabana wamechakachuwa hii thread wamebadili heading..

heading hajabadilishwa mkuu, labda wewe umejishtukia. Ukichana na mliman tv na maandamano ya udsm, ni station gan nyingine ambayo ilireport hiyo habar kwa kina? Nyingi zilireport kwa juu juu tu!
 
Nimefuatilia kipindi cha magazeti asubuhi, redio free africa, habar za hizo vurugu hawajasoma kabisa wanaziruka, kana kwamba hakuna hata gazeti moja lilo andika. Nawapa pongezi wapo redio wao wamejitahidi kuzipa air time za kutosha. Chan. ten, itv, na nyinginezo na nyie mmekuwa tbc cku hiz. Au ndio mambo ya kujikweza kwa serikali? Na ki2 kingine ambacho siwaelewi hiz tvs, mara kikwete wana mwita Dr. Kikwete, Sikunyingine hawamwiti hivyo.

Na wewe Ndugu Acha Ubahili Nunua Gazeti!!
 
Mkitaka habari kama hizo ni bora muingie kwny mitandao ya kijamii, uhuru wa vyombo vya habari unatofautiana kidogo na wa jeshi la polisi.
 
Na wewe Ndugu Acha Ubahili Nunua Gazeti!!

nini maana ya kuwa na television, redio, hata hivyo huku kwetu kuna bonge lamvua, hakuna hata muuza gazeti hata mmoja mtaan
 
Ha ha ha ,leo mmeshituka tafouti iliyopo kati ya hypothetical na actual freedom of press. Hapa uhuru wa vyombo vya habari bado. Kwa majirani matukio kama haya ni Breaking news halafu unapewa live feed kutoka location ya tukio.
 
And how in hell hzo tv na magazeti zitaweza kutoa coverage kubwa kwa habari zinazoonesha madhaifu na failures za sisiem huku owners wa hzo media ni Wanathithiem kwa 99%? Hawana guts hzo jamani! Ila thanx to JF jana namwambia my dad mambo ya mbeya haamini...mpaka nilipompa link ya JF ndo kaona habari. AMEUSIFIA SANA UWAZI NA UKWELI WA JF, HAIFUNGAMANI NA POPOTE! Soon atakuwa member humu!
 
Nimefuatilia vyombo vingi vya habar jana TVs, redio na magazeti mengi habar ya vurugu ya mbeya na udsm vimepewa coverage ndogo na mengine hakuna hata hiyo habar. Tatizo ni nin? Au serikali imewaomba wafanye hivyo kuzuia kuenea sehemu nyingine au sheria ya habar inawataka hivyo! Wanahabar mtuhabarishe, nin kimetokea kwenye media zenu?

Kwanini habari za vurugu zipewe "coverage" kubwa? inasaidia nini?
 
vita ya mbeya imeanza tena ...sasa hivi ni mabou na magari ya matangazo yanapita kuwasihi wananchi kuacha vurugu na wakae kwenye meza ya mazungumzo...hali ni mabaya sana sasa hivi ....huu mgogoro utaacha historia ....polisi wa iringa ndo wako walikuja jana usiku kuongeza nguvu..vijana wake kwa waume wamejipanga tena upya na vurugu zimeanza,,,
 
vita ya mbeya imeanza tena ...sasa hivi ni mabou na magari ya matangazo yanapita kuwasihi wananchi kuacha vurugu na wakae kwenye meza ya mazungumzo...hali ni mabaya sana sasa hivi ....huu mgogoro utaacha historia ....polisi wa iringa ndo wako walikuja jana usiku kuongeza nguvu..vijana wake kwa waume wamejipanga tena upya na vurugu zimeanza,,,

Mkuu ifungulie uzi hii news tupate habari zaidi.
 
wanajaamii tujulisheni kinachoendelea mbeya

Ndugu zanguni Mbeya hali si shwari na hata hvyo vyombo vya habari vinyamaze vipi ukweli ni kwamba hali si shwari maana hata leo vurugu zinaendelea, police jana waliongezwa kutoka Iringa lakini hawajafanikiwa chochote labda waongeze kutoka Dar kama wamefanikiwa kutuliza mgomo wa wanachuo wa UDSM. Na hatari iliyopo vijana wa tunduma wanaweza kupokea Mbiu hiyo muda wowote. tuombe busara itumike na si nguvu kama wanavyofanya sasa maana hasiri za wale vijana zinasambaa kama moto wa kifuu cha nazi.
 
Waonyeshe wasionye sumu ya mageuzi imeshatapakaa nchi nzima hakuna wa kuzuia tunachosubiri ni muda muafaka utimie tufanye mageuzi bila kizuizi chochote si polisi wala jeshi watakaoweza kuzuia mageuzi hayo na wakijaribu kufanya hivyo watajuta kuzaliwa
 
Nimefuatilia vyombo vingi vya habar jana TVs, redio na magazeti mengi habar ya vurugu ya mbeya na udsm vimepewa coverage ndogo na mengine hakuna hata hiyo habar. Tatizo ni nin? Au serikali imewaomba wafanye hivyo kuzuia kuenea sehemu nyingine au sheria ya habar inawataka hivyo! Wanahabar mtuhabarishe, nin kimetokea kwenye media zenu?

Wamewakataza wasitangaze kufanya hivyo nikuwapa promo
 
Mbona mnasumbuka kutafuta mchawi, si hao CHADEMA ndio sababu kubwa(Fikiri sana kwa nini nimetaja cdm)-Vurugu tupu hawa. hamna kitu
 
Kwanini habari za vurugu zipewe "coverage" kubwa? inasaidia nini?
Hata kama ni vurugu lazima wananchi wapewe taarifa kuepusha maafa zaidi maana kuna wengine wanaelekea huko ktk safari zao za kawaida. Je huoni kuwa ni bora kuwapasha habari ili wachukue taadhari? Mbona milipuko ya mabomu ilipewa coverage ya kutosha?
 
Nimefuatilia vyombo vingi vya habar jana TVs, redio na magazeti mengi habar ya vurugu ya mbeya na udsm vimepewa coverage ndogo na mengine hakuna hata hiyo habar. Tatizo ni nin? Au serikali imewaomba wafanye hivyo kuzuia kuenea sehemu nyingine au sheria ya habar inawataka hivyo! Wanahabar mtuhabarishe, nin kimetokea kwenye media zenu?

Kwani wewe ulitaka vyombo viripoti nini kuhusu Mbeya na Udsm kwa sababu wengine tumeona na kusikia. Au ulitaka taaifa zipotoshwe ili ufurahi? Pole naona CHADEMA walichelewa kuzipata ilil wawanunue waandike ndivyo sivyo kama ulivotarajia. Waandishi wa habari nao wameshachoka na propaganda za CDM wanazopelekewa kwa vile sasa wametambua hazina maslahi kwa taifa na vilevile zinashusha hadhi ya taaluma yao ya uandishi wa habari.
 
Back
Top Bottom