CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
Nimefuatilia vyombo vingi vya habar jana TVs, redio na magazeti mengi habar ya vurugu ya mbeya na udsm vimepewa coverage ndogo na mengine hakuna hata hiyo habar. Tatizo ni nin? Au serikali imewaomba wafanye hivyo kuzuia kuenea sehemu nyingine au sheria ya habar inawataka hivyo! Wanahabar mtuhabarishe, nin kimetokea kwenye media zenu?