Mbona ufugaji na biashara ya nyama na mayai ya kware umeyeyuka ghafla?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Wakuu kama mtakumbuka kupitia jukwaa hili miaka miwili mitatu iliyopita tulihamasishana sana kuhusu ufugaji wa kware ili kunufaika na biaashara ya nyama na mayai. Tuliambiwa pia mayai ya kware yana afya kulinganisha na mayai ya kuku.

Ghafla, sioni tena ule ''moto'' wa ufugaji wa kware, nini kimesababisha? je, hakukufanyika utafiti? Je, ile afya au virutubisho kwenye mayai ya kware haikuwa kweli?
 
Wakuu kama mtakumbuka kupitia jukwaa hili miaka miwili mitatu iliyopita tulihamasishana sana kuhusu ufugaji wa kware ili kunufaika na biaashara ya nyama na mayai. Tuliambiwa pia mayai ya kware yana afya kulinganisha na mayai ya kuku.

Ghafla, sioni tena ule ''moto'' wa ufugaji wa kware, nini kimesababisha? je, hakukufanyika utafiti? Je, ile afya au virutubisho kwenye mayai ya kware haikuwa kweli?
Daah maisha ya bongo bana, michosho mitupu aseeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania, ndiyo mahala pekee ambapo ukisema kuwa kinyesi cha nyoka ni dawa ya ugonjwa wowote ule ama ni dawa ya utajiri watu watafuga nyoka ili wapate hicho kinyesi bila kufanya uchambuzi na utafiti.

Jiulize,. Kama Taifa tunategemea utafiti wa taasisi uchwara ya TWAWEZA, ili kufanya maamuzi unategemea chochote hapo kwenye kware!?

Zaidi, hapo Tanzania, watu wamekaa kwa ajili ya kupiga deal na kusepa.

Mara Mitiki, oooh Oooooh Ufuguji wa Nyuki, Kilimo Kwanza, maara wiwiwii, Kilimo ni Biashara, oooh Oooooh, Kilimo cha Uyoga , Ufugaji wa Samaki.

Kilichobakia ni Ufugaji wa Ndevu nao itakuja kusemwa ni project yenye hela na soko.

Kwa kifupi, watanzania tunapaswa kujitathimini tunakoenda na hasa kupima haya matamko.
Zaidi ya hapo, tutakuwa tunaonekana kama waganga wa kienyeji.
 
Tanzania, ndiyo mahala pekee ambapo ukisema kuwa kinyesi cha nyoka ni dawa ya ugonjwa wowote ule ama ni dawa ya utajiri watu watafuga nyoka ili wapate hicho kinyesi bila kufanya uchambuzi na utafiti.

Jiulize,. Kama Taifa tunategemea utafiti wa taasisi uchwara ya TWAWEZA, ili kufanya maamuzi unategemea chochote hapo kwenye kware!?

Zaidi, hapo Tanzania, watu wamekaa kwa ajili ya kupiga deal na kusepa.

Mara Mitiki, oooh Oooooh Ufuguji wa Nyuki, Kilimo Kwanza, maara wiwiwii, Kilimo ni Biashara, oooh Oooooh, Kilimo cha Uyoga , Ufugaji wa Samaki.

Kilichobakia ni Ufugaji wa Ndevu nao itakuja kusemwa ni project yenye hela na soko.

Kwa kifupi, watanzania tunapaswa kujitathimini tunakoenda na hasa kupima haya matamko.
Zaidi ya hapo, tutakuwa tunaonekana kama waganga wa kienyeji.
Hahahahah UFUGAJI WA NDEVU!
 
Back
Top Bottom