Nini lilikuwa lengo la upepo huo?
Wakenya walituthibitishia sisi wengi wetu ni kizazi cha "copy and paste".Hatuumizi vichwa kufikiri,kujihoji na kutafuta masoko wenyewe.
Nini lilikuwa lengo la upepo huo?
Kumbe ilianzia Kenya? ila sio mbaya kwani hata wao walimiminika Loliondo kwenye kikombe cha Babu.Wakenya walituthibitishia sisi wengi wetu ni kizazi cha "copy and paste".Hatuumizi vichwa kufikiri,kujihoji na kutafuta masoko wenyewe.
Ha ha ha ha ha ha ha nimecheka sana......Tanzania, ndiyo mahala pekee ambapo ukisema kuwa kinyesi cha nyoka ni dawa ya ugonjwa wowote ule ama ni dawa ya utajiri watu watafuga nyoka ili wapate hicho kinyesi bila kufanya uchambuzi na utafiti.
Jiulize,. Kama Taifa tunategemea utafiti wa taasisi uchwara ya TWAWEZA, ili kufanya maamuzi unategemea chochote hapo kwenye kware!?
Zaidi, hapo Tanzania, watu wamekaa kwa ajili ya kupiga deal na kusepa.
Mara Mitiki, oooh Oooooh Ufuguji wa Nyuki, Kilimo Kwanza, maara wiwiwii, Kilimo ni Biashara, oooh Oooooh, Kilimo cha Uyoga , Ufugaji wa Samaki.
Kilichobakia ni Ufugaji wa Ndevu nao itakuja kusemwa ni project yenye hela na soko.
Kwa kifupi, watanzania tunapaswa kujitathimini tunakoenda na hasa kupima haya matamko.
Zaidi ya hapo, tutakuwa tunaonekana kama waganga wa kienyeji.
Ha ha ha ha ha ha ha nimecheka sana......
SONY Xperia Z5 Premium
Kabisa yaaniMkuu, Mimi nakwambia , we need to re-evaluate our mental programs. Tunahitaji kufanya programming ya vichwa vya jamii yetu.
Nimependa jina lako... Nami nitabadilisha kuwa Himalayan coatSikuona hiyo demand ya mayai ya kware mtaani, nashangaa walioenda kufuga kitu ambacho hakiuliziwi mtaani
Sidhani
CCM walikuwa wanataka kutuchezea akili ili tusifuatilie mienendo ovu ya serikali yake!Nini lilikuwa lengo la upepo huo?
Yanaongeza za kike ndiyo maana siku hizi visima vyenu havijai, ni kulalamika eti hamsuguliwi vyema..!Hayana faida, hayaongezi nguvu za kiume bana
Kabisa yaani
SONY Xperia Z5 Premium
Ndiyo kilichobakia sasa.
Maana humu jf nimeona , mara ufugaji wa ng'e, mara ufugaji wa nyoka .
Mambo chungu nzima bado tu kusikia project ya kufuga NDEVU.
Tuliingia chaka,ni fundisho kwetu sote tuepuke kulishwa matango pori....Kwale walianza kutaga mayai ya kisasa , na wengine huenda waliludi polini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kama mtakumbuka kupitia jukwaa hili miaka miwili mitatu iliyopita tulihamasishana sana kuhusu ufugaji wa kware ili kunufaika na biaashara ya nyama na mayai. Tuliambiwa pia mayai ya kware yana afya kulinganisha na mayai ya kuku.
Ghafla, sioni tena ule ''moto'' wa ufugaji wa kware, nini kimesababisha? je, hakukufanyika utafiti? Je, ile afya au virutubisho kwenye mayai ya kware haikuwa kweli?