kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,849
- 3,066
Wakati ni ukutaringeni mkifika 37 mtakubali kuzaa na kulea kwa gharama zenu wenyewe
![]()


watazaa na MarioWakati ni ukutaringeni mkifika 37 mtakubali kuzaa na kulea kwa gharama zenu wenyewe
![]()


watazaa na MarioEeh kwani kina Aunt Ezekiel kiko wapi leo? Walidanga sana ila inafikia umri flani wanakuja kusanuka yale sio maisha. Kuna mapungufu makubwa wako nayo!watazaa na Mario
Huo ujinga nilishakataanimekutana nao watatu halafu sio bikra mitambo wanasema mpka ndoa

UsitutisheeeeMmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()
MaashaAllahHujajua tu vile nimeshituka kuona like yako My Lovely mdogo.
Nakuja nikusalimie mana hadi twazeeka sasa. Teh teh.


Imeanzisha nature yenyewe, SMV kwa wanawake at 27 mwisho, beyond 27 inabidi uwe hottie kweli, sasa mbaya zaidi Men are desperate for young & hot chicks.Alianzisha huu utaratibu wa before 30 wameolewa kaleta janga Kubwa KWENYE jamii yetu
Maana kizazi Cha vijana wengi wakiume kwa Sasa, wakifikisha 30 ndo Kwanza wanakua wanaanza maisha.
Tofaut na miaka ya zamani
Hivi bado tu?Please ukipata wengi nipasie pia mkuu kuku😜
Ndiyo mkuuHivi bado tu?
OkNdiyo mkuu
37 is just a number tu usitutishe, tutaolewa tu😂Wakati ni ukuta 😅 ringeni mkifika 37 mtakubali kuzaa na kulea kwa gharama zenu wenyewe😅
Nakucheki tu37 is just a number tu usitutishe, tutaolewa tu😂
Njoo nikutute machozi