Imeisha hiyooo mamaPlease ukipata wengi nipasie pia mkuu kuku![]()
Alianzisha huu utaratibu wa before 30 wameolewa kaleta janga Kubwa KWENYE jamii yetuHahahahahah watoto wengi wa kike this time around wako 30’s wana desperate ya abuja! Wanataman kuolewa kichizi wanasumbuliwa na wazazi wao wazae![]()
Eeh yaani 30 watu ndio wanaanza kuchakarikaAlianzisha huu utaratibu wa before 30 wameolewa kaleta janga Kubwa KWENYE jamii yetu
Maana kizazi cha vijana wengi wakiume kwa Sasa, wakifikisha 30 ndo Kwanza wanakua wanaanza maisha.
Tofaut na miaka ya zamani
HahahaaKama vile analazimisha.
Ebu mpe mbinu ulizotumia kupata mume mwema, mswali tano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu arehemu washushe hadi 25 haha tuchakate sanaAlianzisha huu utaratibu wa before 30 wameolewa kaleta janga Kubwa KWENYE jamii yetu
Maana kizazi Cha vijana wengi wakiume kwa Sasa, wakifikisha 30 ndo Kwanza wanakua wanaanza maisha.
Tofaut na miaka ya zamani
Uyu dada huwa anacomment ngumu Kama jiwe![]()
Sio kweliHahahaa
Wakat me mwenyew nipo mbioni kuandika bango langu
Nasubiri Bango. Niapply..Hahahaa
Wakat me mwenyew nipo mbioni kuandika bango langu

Wewe si ndiye yule unayesema mwanaume hatakaa akuguse mpaka mfunge ndoa?Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()

Alafu ukute huna hela na tako huna alafu unataka mumeMmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()



Inaonekana na muoaji atalipwa kabisaMmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()


