Mbona siwaoni waoaji mwe!

Mbona siwaoni waoaji mwe!

Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma

Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni
Pole sana.
 
Back
Top Bottom