financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
You mean its you? 😂
You mean its you? 😂
Nataka nikuhonge IST New model mremboPlease ukipata wengi nipasie pia mkuu kuku![]()




Hamna mkuu, Deep yule asokua na makuuYou mean its you?![]()

That's my dream car mkuu, ntafurahii😂Nataka nikuhonge IST new model mrembo![]()
Wakati hapo alipo anatembelea FortunerNataka nikuhonge IST new model mrembo![]()

Nani huyo sasaHamna mkuu, Deep yule asokua na makuu![]()
Una umri gani ? nawapenda sana mlioteseka kutafta ndoaMmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()
😂😂 sina hata baiskeli mkuu, nisije kosa bahati bureWakati hapo alipo anatembelea Fortuner![]()
Wewe nyosha tu maelezo kua huoi bila kutest mitamboWaoaji tupo huku ila hatuoi bila mchongo!![]()

Hahahahah wanaelewa mchongo mzima😅Wewe nyosha TU maelezo kua huoi bila kutest mitambo![]()
Ha ha ha......sina hata baiskeli mkuu, nisije kosa bahati bure
Pole sana.Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni![]()
Huyu dada akijichanganya na kizazi hiki cha rikiboy atapelekewa moto mpaka achake.Hahahahah wanaelewa mchongo mzima![]()

Kama vile analazimisha.Huu uzi umekaa kibabe sana![]()
Ni jambo dogo sana hiloWaoaji tupo huku ila hatuoi bila mchongo!![]()
Hahahahahah watoto wengi wa kike this time around wako 30’s wana desperate ya abuja! Wanataman kuolewa kichizi wanasumbuliwa na wazazi wao wazae 😅😅😅Uyu dada akijichanganya na kizazi hiki Cha rikiboy ataliwa kimasihara mpaka achake.
Vinginevyo awe na maji maji ya kutosha![]()