financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,514
You mean its you? 😂DeepPond[emoji4]
You mean its you? 😂DeepPond[emoji4]
Nataka nikuhonge IST New model mrembo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Please ukipata wengi nipasie pia mkuu kuku[emoji12]
Hamna mkuu, Deep yule asokua na makuu[emoji1787]You mean its you? [emoji23]
That's my dream car mkuu, ntafurahii😂Nataka nikuhonge IST new model mrembo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Wakati hapo alipo anatembelea Fortuner[emoji1787]Nataka nikuhonge IST new model mrembo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nani huyo sasaHamna mkuu, Deep yule asokua na makuu[emoji1787]
Una umri gani ? nawapenda sana mlioteseka kutafta ndoaMmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui [emoji1]
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni[emoji41]
😂😂 sina hata baiskeli mkuu, nisije kosa bahati bureWakati hapo alipo anatembelea Fortuner[emoji1787]
Wewe nyosha tu maelezo kua huoi bila kutest mitambo[emoji4]Waoaji tupo huku ila hatuoi bila mchongo![emoji28]
Hahahahah wanaelewa mchongo mzima😅Wewe nyosha TU maelezo kua huoi bila kutest mitambo[emoji4]
Ha ha ha......[emoji23][emoji23] sina hata baiskeli mkuu, nisije kosa bahati bure
Pole sana.Mmejificha waaaaapiiii wajameni,mbona mnataka tuzeekeee tuuu bila huruma
Hebu mtuoe basi tumechoka mikelele ya wazazi
Hakuna kigezo wala masharti hapa,sibagui sichagui [emoji1]
Ila ukija na usiponioa oohoooo utakijua cha mtema kuni[emoji41]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ila lakini!
Huyu dada akijichanganya na kizazi hiki cha rikiboy atapelekewa moto mpaka achake.Hahahahah wanaelewa mchongo mzima[emoji28]
Kama vile analazimisha.Huu uzi umekaa kibabe sana[emoji1787][emoji1787]
Ni jambo dogo sana hiloWaoaji tupo huku ila hatuoi bila mchongo![emoji28]
Hahahahahah watoto wengi wa kike this time around wako 30’s wana desperate ya abuja! Wanataman kuolewa kichizi wanasumbuliwa na wazazi wao wazae 😅😅😅Uyu dada akijichanganya na kizazi hiki Cha rikiboy ataliwa kimasihara mpaka achake.
Vinginevyo awe na maji maji ya kutosha[emoji4]