figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Heshima yenu wakuu.
Mimi nilijua wavulana ndio wanao tongoza wasichana. Lakini hii tabia ya kutongozana wasichana kwa wasichana sijui imeanza lini. Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu lakini kila siku unamfuata kazini kwake eti unamtongoza.eti bila yeye huna raha. Kweli?.
Mtu ushapewa onyo lakini husikii. Unamtaka mwanamke mwenzio ukamfanye nini? mabwana huwaoni?
Achananeni na wake zetu.unajifanya shoga yake kumbe unamtongoza.
Mimi sipendi tabia hii.
Mia
Mimi nilijua wavulana ndio wanao tongoza wasichana. Lakini hii tabia ya kutongozana wasichana kwa wasichana sijui imeanza lini. Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu lakini kila siku unamfuata kazini kwake eti unamtongoza.eti bila yeye huna raha. Kweli?.
Mtu ushapewa onyo lakini husikii. Unamtaka mwanamke mwenzio ukamfanye nini? mabwana huwaoni?
Achananeni na wake zetu.unajifanya shoga yake kumbe unamtongoza.
Mimi sipendi tabia hii.
Mia