Kila dini ina Mungu wake,hivyo mchunguze mungu wa dini yako kwa jicho la tatu,by the way hiyo sio hali ya kawaida hata kidogo kipimo rahisi fuatilia mada za wakaka wanavyowalalamikia wadada kwa kuwapressurize juu ya ndoa ndani ya kipindi kifupi utapata picha kwamba hio sio hali ya kawaida,tatizo lako ni la kiroho na utatuzi wake hauna budi kuwa wakiroho pia,na hii ndiyo sababu Damu ya YESU KRISTO ilimwagika pale msalabani, hakusita kulijitoa hata mauti yake kwa ajili ya uzima wa nafsi zetu akijua kwamba bila hivyo wanadamu ni "halali ya shetani"