Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mwisho wako unakaribia
kama wewe ni "me" huyo mwanamke kakusamehe kweli.
ila kama ni "ke" hapo sina hakika kama kakusamehe, wanaume wanakitu kuweka rohoni, ukitaka kujua fanya hata kosa dogo sanaaaaa utasikia "ndio maana ulinifanyia hivi...., blah! blah! blahh! blah". Yaani uwe mwangalifu sana maana naona dalili za kumwagwa wakati wowote, Katika hii dunia mkosee makosa yoteee mwanaume atakusamehe na atasahau, ila kumcheat hata akikusamehe hasahau kamweeee!!!!!. hapo kuwa mpole tuuu, jitahidi kumuonyesha kuwa unampenda yale yaliyotokea uliteleza tu.
Habar zenu, kwa mara ya kwanza napost Jamii forums.
Kuna hili jambo mwenzenu laniumiza kichwa. Mpenzi wangu haniamini tena kama zamani kwa chochote kile na yote ni kwasababu niliwahi kumcheat.
Lakini alinisamehe na tukaendelea vizuri lakini tatzo sikuhizi haniamini kama zamani ananitilia mashaka kila nalosema na kila ninalolifanya.
What should i do to win his trust?
hujaelewa huyo mtu ni jinsi ipi? rudi page namba moja uone swali la tee bag zen angalia jibu alilopewa ndio utajua kama ni ke au me
Mi ni "ke" wandugu.....then ni mara nyingi nkimkosea kwa makosa mengine lazma akumbushie na hilo....kazi ninayo. Lakn i hope mambo yataenda vzr tu.