#COVID19 Mbona Serikali imetugawa katika chanjo ya COVID-19?

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,685
22,694
Leo katika hotuba ya MH Rais amesikika akisema wameshakubalia taasisi mbalimbali kuagiza chanjo za aina wanayoitaka wao, taasisi mojawapo ni ya Mzee Azim Dewji.

Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia tumeambiwa Chanjo tunanunua kwa fedha zetu za kodi? Mbona Serikali imetuchagulia chanjo ya John & Jonson pekee? Je, Serikali ina maslahi katika hiyo kampuni ya Chanjo?

OMBI

Tunaomba Serikali iwape Watanzania uwanja mpana wa kuchagua aina ya chanjo wanayoitaka maana chanjo zipo za aina nyingi kama Pfizer, AstraZenecca n.k
 
WaTanzania nikama tumelaniwa badala ya kuwaza postive tunashikilia trivial issues, wenzetu wanapambana na covid sasa wako huru kiasi, sisi tunajidili aina ya chanjo, cmna wana sayansi muhimbili tegenezeni ya kwanu.

Watu kama Gwajima wanao tumia udhaifu ya watu kuwa potosha zaid ni hatari kabisa ni kwasabb ni CCM ni basi tu.
 
Mimi nakuambiaje serekali ya huyu mama ni dhalimu kabisa katika afya ya watanzania katika hi chanjo wana lao jambo ni Mungu tu aepushilie mbali.

Sichomi na haitoka ikatokea nikachoma.
 
WaTanzania nikama tumelaniwa badala ya kuwaza postive tunashikilia trivial issues, wenzetu wanapambana na covid sasa wako huru kiasi, sisi tunajidili aina ya chanjo, cmna wana sayansi muhimbili tegenezeni ya kwanu.

Watu kama Gwajima wanao tumia udhaifu ya watu kuwa potosha zaid ni hatari kabisa ni kwasabb ni CCM ni basi tu.
Kiongozi mbona una akili za kushikiwa sana.
 
WaTanzania nikama tumelaniwa badala ya kuwaza postive tunashikilia trivial issues, wenzetu wanapambana na covid sasa wako huru kiasi, sisi tunajidili aina ya chanjo, cmna wana sayansi muhimbili tegenezeni ya kwanu.

Watu kama Gwajima wanao tumia udhaifu ya watu kuwa potosha zaid ni hatari kabisa ni kwasabb ni CCM ni basi tu.
Kajifunze kwanza kuandika urudi kuandika utopolo wako.
 
Wenye dunia yao wakikutaka hutoki vitu vingi kutoka kwao tunatumia hivyo wakidhamiria kufanya ubaya watafanya kwa njia yoyote.
Kwahiyo unataka kuniaminisha nini au kuniogopesha nini?
 
Kwahiyo unataka kuniaminisha nini au kuniogopesha nini?
Sijui kama ni kukuaminisha au kukuogopesha lakini ninachokuambia kama unafikiri hizo chanjo zimekuja kwa lengo la kudhuru watu unaweza kuacha kuchoma lakini iwapo hao jamaa kama ni kweli wana lengo la kudhuru watu basi hutoweza kukwepa mitego yao maana vingi tunavyotumia vinatoka huko na wanaweza kufanikisha lengo lao kwa njia yoyote.
 
Wenye dunia yao wakikutaka hutoki vitu vingi kutoka kwao tunatumia hivyo wakidhamiria kufanya ubaya watafanya kwa njia yoyote.
Mkuu mbona tumechaguliwa aina ya chanjo wakati chanjo zipo nyingi?
 
Sijui kama ni kukuaminisha au kukuogopesha lakini ninachokuambia kama unafikiri hizo chanjo zimekuja kwa lengo la kudhuru watu unaweza kuacha kuchoma lakini iwapo hao jamaa kama ni kweli wana lengo la kudhuru watu basi hutoweza kukwepa mitego yao maana vingi tunavyotumia vinatoka huko na wanaweza kufanikisha lengo lao kwa njia yoyote.
"kufanikisha lengo lao kwa njia yoyote"bado unarudi palepale nakuliza tena unataka kuniogopesha nini hasa?
 
"kufanikisha lengo lao kwa njia yoyote"bado unarudi palepale nakuliza tena unataka kuniogopesha nini hasa?
Uwe unaelewa, nimesema kama unafikiri hiyo chanjo ina lengo la kudhuru watu basi ikiwa ni kweli wana lengo hilo ndio nikasema wanaweza "kufanikisha lengo lao kwa njia yoyote" maana kuna sehemu kubwa ya mahitaji yetu ya msingi yanatoka kwao,je tunaweza kuepuka mitego yao?
 
Hawa akina Dewji wakinunua hizo chanjo watazitoa bure? I doubt it. Na kwanini watu binafsi waruhusiwe kununua hizo chanjo badala ya Serikali kuzinunua!? Sijasikia nchi yoyote ile ya Africa kuruhusu watu binafsi kununua chanjo badala ya Serikali.
Leo katika hotuba ya MH Rais amesikika akisema wameshakubalia taasisi mbalimbali kuagiza chanjo za aina wanayoitaka wao, taasisi mojawapo ni ya Mzee Azim Dewji.

Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia tumeambiwa Chanjo tunanunua kwa fedha zetu za kodi? Mbona Serikali imetuchagulia chanjo ya John & Jonson pekee? Je, Serikali ina maslahi katika hiyo kampuni ya Chanjo?

OMBI
Tunaomba Serikali iwape Watanzania uwanja mpana wa kuchagua aina ya chanjo wanayoitaka maana chanjo zipo za aina nyingi kama Pfizer, AstraZenecca n.k
 
Kuna chanjo ambazo ZIMESHAIDHINISHWA na WHO!! Hata hao watakaogaiza, watalazimika kuagiza chanjo zilizoidhinishwa na WHO!!

Kimsingi, hilo ni jambo jema kama chanjo zitakazoagizwa na hizo taasisi zitaendelea kutolewa bure!!

Just imagine, nchi ya watu almost 60 Million, chanjo tulizoletewa ni ONLY 1M, so ni bora taasisi zingine zikiendelea kuleta hizo chanjo. Na hapo hapo unahitaji second dose
 
Leo katika hotuba ya MH Rais amesikika akisema wameshakubalia taasisi mbalimbali kuagiza chanjo za aina wanayoitaka wao, taasisi mojawapo ni ya Mzee Azim Dewji.

Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia tumeambiwa Chanjo tunanunua kwa fedha zetu za kodi? Mbona Serikali imetuchagulia chanjo ya John & Jonson pekee? Je, Serikali ina maslahi katika hiyo kampuni ya Chanjo?

OMBI

Tunaomba Serikali iwape Watanzania uwanja mpana wa kuchagua aina ya chanjo wanayoitaka maana chanjo zipo za aina nyingi kama Pfizer, AstraZenecca n.k
Hili la chanjo ni sawa na la muuza karanga ukikubali tu offer ya kuonja za bure habanduki mpaka umnunuze.. Tulivyopewa zawadi ile za zile chanjo milion moja nilijua tu kifuatacho ITV... NI HIKI.!
 
Back
Top Bottom