chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Leo katika hotuba ya MH Rais amesikika akisema wameshakubalia taasisi mbalimbali kuagiza chanjo za aina wanayoitaka wao, taasisi mojawapo ni ya Mzee Azim Dewji.
Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia tumeambiwa Chanjo tunanunua kwa fedha zetu za kodi? Mbona Serikali imetuchagulia chanjo ya John & Jonson pekee? Je, Serikali ina maslahi katika hiyo kampuni ya Chanjo?
OMBI
Tunaomba Serikali iwape Watanzania uwanja mpana wa kuchagua aina ya chanjo wanayoitaka maana chanjo zipo za aina nyingi kama Pfizer, AstraZenecca n.k
Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia tumeambiwa Chanjo tunanunua kwa fedha zetu za kodi? Mbona Serikali imetuchagulia chanjo ya John & Jonson pekee? Je, Serikali ina maslahi katika hiyo kampuni ya Chanjo?
OMBI
Tunaomba Serikali iwape Watanzania uwanja mpana wa kuchagua aina ya chanjo wanayoitaka maana chanjo zipo za aina nyingi kama Pfizer, AstraZenecca n.k