ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Leo wameibuka mashehe ubwabwa na kuleta hoja za ovyo ati TEC ni wabaguzi walifanya wakanyimwa mahakama ya kadhi
Kikwete, Mwinyi wote walikuwa waislam ila upumbavu wa Mahakama ya kadhi waliukataa
Sasa sisi waislam wenye akili tunahoji mbona huyo kipenzi chao Samia yupo madarakani mwaka wa 11 Bado hajatoa mahakama ya kadhi
Hivi kweli jitu unalilia mahakama ya kadhi kwenye nchi ambayo sio Islamic state
Sasa mahakama zetu zitakuwa na nguvu Gani Kili dini ikiibuka na mahakama yake
TEC wamepinga utekaji, mauaji na kuhujumu wa uchaguzi halafu anaibuka MLA tende eti anataka mahakama ya kadhi
Kikwete, Mwinyi wote walikuwa waislam ila upumbavu wa Mahakama ya kadhi waliukataa
Sasa sisi waislam wenye akili tunahoji mbona huyo kipenzi chao Samia yupo madarakani mwaka wa 11 Bado hajatoa mahakama ya kadhi
Hivi kweli jitu unalilia mahakama ya kadhi kwenye nchi ambayo sio Islamic state
Sasa mahakama zetu zitakuwa na nguvu Gani Kili dini ikiibuka na mahakama yake
TEC wamepinga utekaji, mauaji na kuhujumu wa uchaguzi halafu anaibuka MLA tende eti anataka mahakama ya kadhi