- Thread starter
- #41
Hii post ndo inakudhihirisha wewe ni nani na una tabia za aina gani, na muda mwingi unakuwa unawaza au kufikiri nini. Am out of here, coz hii thread haina mashiko
Go TO HELL
Hii post ndo inakudhihirisha wewe ni nani na una tabia za aina gani, na muda mwingi unakuwa unawaza au kufikiri nini. Am out of here, coz hii thread haina mashiko
Huwa sipati tabu kujuwa umri wa mamember wa humu JF, huyu amekalili maneno kama kasuku watu kama nyinyi huwa nawapa dole la kati.We unaona ni nini hiki?
Au unafikiria kwa kutumia masaburi.
Huwa sipati tabu kujuwa umri wa mamember wa humu JF, huyu amekalili maneno kama kasuku watu kama nyinyi huwa nawapa dole la kati.
Kama ulivyozoea kumpa mamako na babako halafu na wao wanakupa wewe na babako mnapokezana.
Men with their perceptions!!!!!!! Dah, hivi tungekuwa tunawajudge nyie mngetuoa kweli, lol. Sidhani
Huko nako wauza mboga watamwona ni mzuri, kila mtu na maeneo yake ya kujidaiMwanamke anaonekana mzuri kutokana na mazingira ya eneo husika!
Ukionana na mdada maeneo kama m.city anaonekana mrembooo lakini ukikutana naye mwanamke huyo huyo k-koo unampita bila hata kugeuka!!
Hakuna mwanamke mbaya weye! labda ukishamkinai!Yaani sijawahi kuona demu mbaya maeneo ya posta mpya. Ina maana wanawake wabaya wanazuiwa kuingia maeneo hayo, au ni kuwa demu akiingia maeneo hayo anabadilika automatically kuwa mrembo.
Yaani sijawahi kuona demu mbaya maeneo ya posta mpya. Ina maana wanawake wabaya wanazuiwa kuingia maeneo hayo, au ni kuwa demu akiingia maeneo hayo anabadilika automatically kuwa mrembo.
na huo ubaya unaupimaje?