Mbona posta mpya wanawake wote ni warembo?

Huwa sipati tabu kujuwa umri wa mamember wa humu JF, huyu amekalili maneno kama kasuku watu kama nyinyi huwa nawapa dole la kati.

Kama ulivyozoea kumpa mamako na babako halafu na wao wanakupa wewe na babako mnapokezana.
 
Kama ulivyozoea kumpa mamako na babako halafu na wao wanakupa wewe na babako mnapokezana.
user-offline.png
kiritimba


Today 06:00 PM

#43

Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 18th August 2011

Posts : 131
Rep Power : 21



[h=2][/h]
 
Mwanamme uzuri wake ni Hela aka Pakee aka mshiko aka kisu aka midako aka mapene aka mkwanja ,wewe a sio suruali au kikombe cha babu!!!! Kama kikombe cha babu hata mashoga wanacho!!!!!!!

Men with their perceptions!!!!!!! Dah, hivi tungekuwa tunawajudge nyie mngetuoa kweli, lol. Sidhani
 
Humu sasa naona hata topiki za maana hakuna! Itabidi nichukue likizo tu kwa muda. Ila siku Lizzy aki update ile hadhithi yake ya Zawadi naomba wadau mni PM...!!
 
Mwanamke anaonekana mzuri kutokana na mazingira ya eneo husika!
Ukionana na mdada maeneo kama m.city anaonekana mrembooo lakini ukikutana naye mwanamke huyo huyo k-koo unampita bila hata kugeuka!!
Huko nako wauza mboga watamwona ni mzuri, kila mtu na maeneo yake ya kujidai
 
nimesoma posts za member humu ngoja nimpe jibu!mademu wengi wa uswaz ikifika saa 10 wanakuja mitaa ya posta kuwatega wafanyikazi!unadhan kariakoo mtu wa ofsn atampata wapi?ndio maana posta kumejaa mademu kibao.
 
Yaani sijawahi kuona demu mbaya maeneo ya posta mpya. Ina maana wanawake wabaya wanazuiwa kuingia maeneo hayo, au ni kuwa demu akiingia maeneo hayo anabadilika automatically kuwa mrembo.
Hakuna mwanamke mbaya weye! labda ukishamkinai!
 
Yaani sijawahi kuona demu mbaya maeneo ya posta mpya. Ina maana wanawake wabaya wanazuiwa kuingia maeneo hayo, au ni kuwa demu akiingia maeneo hayo anabadilika automatically kuwa mrembo.

Hii kitu hiko kwenye mind yako na sio kwenye reality, yaani Psychological ... !!
 
Back
Top Bottom