Yaani sijawahi kuona demu mbaya maeneo ya posta mpya. Ina maana wanawake wabaya wanazuiwa kuingia maeneo hayo, au ni kuwa demu akiingia maeneo hayo anabadilika automatically kuwa mrembo.
Duh!! I see!!biashara ni mabango!thus mwibukie moja kama unatest zari kama atakutolea nje!wako kibiashara!ila na wenyenazo
na huo ubaya unaupimaje?
Mwanamke anaonekana mzuri kutokana na mazingira ya eneo husika!
Ukionana na mdada maeneo kama m.city anaonekana mrembooo lakini ukikutana naye mwanamke huyo huyo k-koo unampita bila hata kugeuka!!
Demu mbaya ndio yukoje?....maake navyojua mimi mbaya kwako ni mzuri kwa mwingine,....anyway-to cut a long story short_mimi ninakutana na hao unaowaita mademu wabaya wengi sana tena labda kuliko hao wazuri....sema kingine sasa
hao wabaya umewaumba wewe?
usiviite vibaya viumbe vya Mungu!!!!!!!
ni mbaya kutokana na mtazamo wako!!!!!!!!!!!
Men with their perceptions!!!!!!! Dah, hivi tungekuwa tunawajudge nyie mngetuoa kweli, lol. Sidhani
wewe waiona mbaya... wenzako wanaizimaka!!hapana bwana. mfano hiyo avatar yako hata ukutane nayo white house bado itaonekana mbaya tuuu
Hivi huwa hamtu-judge?? Lol!!Men with their perceptions!!!!!!! Dah, hivi tungekuwa tunawajudge nyie mngetuoa kweli, lol. Sidhani
Hivi huwa hamtu-judge?? Lol!!
hamna bana,
wote wako bomba