mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,411
- 7,016
Hali gani?
Sijawahi na sidhani kama nitawahi kushuhudia tajiri akianguka mapepo... siyo kwamba haiwezekani la, inawezekana.
Katika kupita pita kwangu kwote sijawahi kuona mwanamke kutoka royal/wealthy family akianguka mapepo.
Hapa nalenga kuwa, tabia za kipuuzi nyingi utazikuta kwa wanawake walalahoi yaani kwani roho chafu za KIMASIKINI hukamata zaidi vitongoji vya walalahoi na wanawake wake.
Tembela maeneo yote ya walalahoi DSM ndiyo utajua, wengi wanaoanguka kwa Mwamposa ukifuatilia wanatoka maeneo hayo.
Roho chafu na umasikini ni damu damu. Vijana wenzetu ambao hamjaoa, msioe wanawake walalahoi. Chonde! Ni ushauri tu lakini.
Hakuna cha bahati wala mipango ya Mungu, some issues zinategemeana na wewe mwenyewe. Usi violate kanuni ya asili. Wewe kama ni lofa oa lofa mwenzio usioe tajiri, UNLESS stated otherwise yaani kama una akili nyingi, kipaji nk!
Ukiutaka umasikini oa mlalahoi...!
Mtazaa mtoto mlalahoi naye atazaa walalahoi, break the chain na uache ubishi.
Sijawahi na sidhani kama nitawahi kushuhudia tajiri akianguka mapepo... siyo kwamba haiwezekani la, inawezekana.
Katika kupita pita kwangu kwote sijawahi kuona mwanamke kutoka royal/wealthy family akianguka mapepo.
Hapa nalenga kuwa, tabia za kipuuzi nyingi utazikuta kwa wanawake walalahoi yaani kwani roho chafu za KIMASIKINI hukamata zaidi vitongoji vya walalahoi na wanawake wake.
Tembela maeneo yote ya walalahoi DSM ndiyo utajua, wengi wanaoanguka kwa Mwamposa ukifuatilia wanatoka maeneo hayo.
Roho chafu na umasikini ni damu damu. Vijana wenzetu ambao hamjaoa, msioe wanawake walalahoi. Chonde! Ni ushauri tu lakini.
Hakuna cha bahati wala mipango ya Mungu, some issues zinategemeana na wewe mwenyewe. Usi violate kanuni ya asili. Wewe kama ni lofa oa lofa mwenzio usioe tajiri, UNLESS stated otherwise yaani kama una akili nyingi, kipaji nk!
Ukiutaka umasikini oa mlalahoi...!
Mtazaa mtoto mlalahoi naye atazaa walalahoi, break the chain na uache ubishi.