ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,509
- 2,792
GTs,
Kwa wakazi kama mimi wa mitaa ya posta mpya au Upanga ni mashuhuda hizo kelele za majenerata yaani ni kama alivyotabiri Dkt Magufuli kuwa akiondoka madarakani hakuna atakayeweza kuisimamia serikali.
Viongozi waadamizi wengi ni wezi na hakika imetokea yaani hata huwezi jua jenerata lipi linalia.
Hii sisi kwa Dkt Makonda na Dkt Dotto Biteko, hakikisheni waliohujumu tanesco wakanakufa wote kisiasa wasiibuke tena wafe kabisa kabisa
Kwa wakazi kama mimi wa mitaa ya posta mpya au Upanga ni mashuhuda hizo kelele za majenerata yaani ni kama alivyotabiri Dkt Magufuli kuwa akiondoka madarakani hakuna atakayeweza kuisimamia serikali.
Viongozi waadamizi wengi ni wezi na hakika imetokea yaani hata huwezi jua jenerata lipi linalia.
Hii sisi kwa Dkt Makonda na Dkt Dotto Biteko, hakikisheni waliohujumu tanesco wakanakufa wote kisiasa wasiibuke tena wafe kabisa kabisa