Mbona natongoza lakini sikubaliwi?

Mbona natongoza lakini sikubaliwi?

Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini. aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.
Labda unanuka mdomo kapige mswaki kwanza!
 
Ckia kijna watoto wa kke n hatar xana hvyo bas uspokua makn watakuumiza kichwa cha mxing wengi wao n mshko kwanza hata kama utapata n kwa gharama ww unafkir unawza ukamudu kutoa 50,000/= ajli ya mtoto wa kke c utakua nawazmu wakti we mwenyewe labda unakula kwa mama.Becareful my dear this in ot ur world anymore got it?

Kuna mtu alisema humu,ukiona mwanaume anaandika "xana" badala ya sana atakua shoja,sijui kama ni kweli!
 
Inaonesha hujui kuhonga vzuri ndo maana...pole sana dunia ya Leo wadada wengi tumefanya relationship kama ajira..tunataka tulipwe..si unajua mkono mtupu haulambwiii
 
Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini.

aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.

yamejaa huko barabarani okota jipe 3000 fokoa tembea,utaliwa wewe zinahama machoko wanasema
 
Hujaweka wazi huwa unamtongoza nani na kwa minajili gani. Manake hata mashoga nao hutongoza wanaume wenzao....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom