Mbona natongoza lakini sikubaliwi?

Mbona natongoza lakini sikubaliwi?

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
588
Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini.

aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.
 
Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini.

aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.
Jitongoze huenda ukajikubali au utajitosa?
 
Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini.

aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.

So what??
 
yahe jamani watongozaje? huo mtongozo wa elfu kumi na tano za gest loh hata mie nakataaa.... yaheee badilisha namna ya kutongozwa acha kutongoza huku huna hela
 
kaoge mto msimbazi hasa wakati ule watu wa kigogo na magomeni wamezibulia vyoo vyao. Kila utakayetongoza,lazima anase.
 
Mkuu hebu weka picha tukuone labda tatizo lipo wazi kbs hutak kulikubali.
 
Nimekuwa nikitongoza sasa huu ni mwezi wa 8, lakini sikubaliwi, vi pesa ya kutumia gesti havikosekani lakini nashangaa chupi zimekuwa ngumu sana, wengine wakiishia kunichuna na kuingia mitini.

aliyeko tayari kunihudumia ajitokeze,naishi chwaka unguja.

Jaribu kufanyia kazi vitu vidogo kwanza kabla ya vikubwa kama kupiga mswaki na Dawa ya meno asubuhi, funga mdomo wakati wa kutafuna, kutembea vizuri na sio kujikwaakwaa, ukifaulu hapo ndio uende Hatua ya Pili...mazafaka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom