Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 199
Wadau juzi nilimsikia J.mnyika na cdm wenzake waki mbeza mkulu mara sijui demografia cjui fidia na pongezi za kumuunga mkono,alivyo maliza akaropoka sijui Mbowe atoke mahabusu,saaasa mbona jana sikumuona??Kwanini asingeenda tena kwenye tukio la jana,ana akili kama yule jamaa wa zobher house.