Hapana sometime hawa chekechea toka vyuo vya chekechea unawapa darasa kidogo! Unaona kabisa huyu mtu ni rubbish when it comes to simple science of human anatomy! tumesoma form 4, organ system, at least at a basic compulsory level ... huyu alitoka kapa!Mzee leo umechafukwa sana.
PoleWadau juzi nilimsikia J.mnyika na cdm wenzake waki mbeza mkulu mara sijui demografia cjui fidia na pongezi za kumuunga mkono,alivyo maliza akaropoka sijui Mbowe atoke mahabusu,saaasa mbona jana sikumuona??Kwanini asingeenda tena kwenye tukio la jana,ana akili kama yule jamaa wa zobher house.
Kweli hili ndio neno lilikua linamfaa.Pole
Nadhani hizi ni miongoni mwa zile ID mpya alizozizungumzia ndugu yangu Mshana Jr siku chache zilizopita, zilianzishwa kwaajili ya ule upepo wa Membe.Hapana sometime hawa chekechea toka vyuo vya chekechea unawapa darasa kidogo! Unaona kabisa huyu mtu ni rubbish when it comes to simple science of human anatomy! tumesoma form 4, organ system, at least at a basic compulsory level ... huyu alitoka kapa!
Na kweli huyu ni mgeni humu ( by ID reference)Nadhani hizi ni miongoni mwa zile ID mpya alizozizungumzia ndugu yangu Mshana Jr siku chache zilizopita, zilianzishwa kwaajili ya ule upepo wa Membe.
Sikuhizi ukiona nyuzi nyingi sana zinaoisifia serikali zinaletwa na ID mpya... Yaani kwa utafiti wangu karibu 75% zinakua ni ID mpya, hawa wamepewa kazi maalumu, kulitakatisha jiwe tu so binafsi kabla sijasema lolote huwa naangalia kwanza huyu mleta uzi anaumri gani humu.Na kweli huyu ni mgeni humu ( by ID reference)
Na sasa hivi zimemwagwa nyingi sana kiasi kwamba naunganisha dot na yale matangazo ya kule insta wanaosema "je unataka kuongeza kipato nje ya mshahara wako kwa kutumia simu yenye internet au computer?"Yeah zile reserved IDs haya ni masalia yake ama ni za bwana huyu
Exactly, nami hilo nimeliona. Lakini contents za post/thread zao unaona kabisa kuwa zinashabihiana na ID fulani fulani za zamani. Ni hao hao wanajibadilisha na kukaa kama kamati maalum ya special task kama ya Membe!Sikuhizi ukiona nyuzi nyingi sana zinaoisifia serikali zinaletwa na ID mpya... Yaani kwa utafiti wangu karibu 75% zinakua ni ID mpya, hawa wamepewa kazi maalumu, kulitakatisha jiwe tu so binafsi kabla sijasema lolote huwa naangalia kwanza huyu mleta uzi anaumri gani humu.
Naam.. Yaani hii ni project kabisa, unadhani kina Lizaboni na faiza foxy wameibuka bure tu? Kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia na tutajua tu maana dunia haina siri.Exactly, nami hilo nimeliona. Lakini contents za post/thread zao unaona kabisa kuwa zinashabihiana na ID fulani fulani za zamani. Ni hao hao wanajibadilisha na kukaa kama kamati maalum ya special task kama ya Membe!

Akafanye nini sasa hilo daraja halipo kwenye jimbo lake. Halafu ni Salendar bridge surrender sijui umeipata wapi
Huyo si msomiMtu anamaliza chuo kikuu hajui hata kutunga sentensi moja ya kimombo halafu anajiita msomi
Na ww utakapo jielewa utajutia huko ulipoUtakapojielewa utajutia huu uzi
Wadau juzi nilimsikia J.mnyika na cdm wenzake waki mbeza mkulu mara sijui demografia cjui fidia na pongezi za kumuunga mkono,alivyo maliza akaropoka sijui Mbowe atoke mahabusu,saaasa mbona jana sikumuona??Kwanini asingeenda tena kwenye tukio la jana,ana akili kama yule jamaa wa zobher house.
afadhali umeliona. nimewafanyisha wengi interview, majanga matupu! Hizi university uchwara ni hatari kwa taifa!Mtu anamaliza chuo kikuu hajui hata kutunga sentensi moja ya kimombo halafu anajiita msomi