Shikamoo imeshuka thamani sana.Hiyo mbinu nzuri wanaitumia sana wazee wa hovyo..!! Akiona kamtamani binti anamuamkia ili binti ashangae au acheke ndio anapoanza mtongozo..!! ๐น๐น
Sasa yeye si anataka kupewa attention atumie hiyo ili ajibiwe hata kwa kicheko..!!
Bank mbali, aende hata gengeni akaibe embe. Hapohapo atapata majibuKama una amini hawakuoni,jaribu kwenda Bank ukaibe hela,utapata jibu kama wanakuona au hawakuoni,
Watu wako busy na vitu vya msingi,
Time is Life.
duh sema mjini makauzu wengi unaweza panda gari mtu akakukuta kwenye seat ata salamu anasubiri we ndo umsalimie aliyekukuta ,na anajifanya anachezea simu muda wote dr. Kweka wa muhimbili anadai sahivi socialization imepungua sana tofauti na zamani kwa sababu ya techWatu wana stress na depression mjini hapa, honi za magari na pikipiki hawasikii, ndo iwe hiyo salamu yako??
๐๐๐๐๐๐
Miji mikubwa haina social life kijana,unapitaje njiani kimyakimya mzee we GenZ nini?kuna shida na matatizo njiani ukipotea njia au kudondoka ghafra unafikiri ndugu zako ndo watakusaidia,
Kwa kweli.duh sema mjini makauzu wengi unaweza panda gari mtu akakukuta kwenye seat ata salamu anasubiri we ndo umsalimie aliyekukuta ,na anajifanya anachezea simu muda wote dr. Kweka wa muhimbili anadai sahivi socialization imepungua sana tofauti na zamani kwa sababu ya tech
kabsa. Watu wa daslam wamevurugwa salam hawazisikiagi kabsa.Labda tumuulize anaishi wapi kwanza , kwasababu tofauti na daslamu , mikoa mingine salamu ni kipaumbele cha kwanza
Huneda wewe mi mpole na sio mwongeaji sana, hiyo sababu hii husababisha kuwa wewe ni mtu mwenye kuongea kwa sauti ndogo ambayo humfanya mtu kama haja pay attention kwako sio rahisi kukusikia unavyoongea..Wajuzi wa mambo vipi, Kwema?
Hivi inakuwaje kila siku unatembea na kila ukikutana na mtu ukimsalimia haitikii wala kukujibu ni kama hakuoni shida ni nini? Hakuna shida hapo kweli?