Mbona kama watu hawanioni/sionekani

Mbona kama watu hawanioni/sionekani

Wajuzi wa mambo vipi, Kwema?
Hivi inakuwaje kila siku unatembea na kila ukikutana na mtu ukimsalimia haitikii wala kukujibu ni kama hakuoni shida ni nini? Hakuna shida hapo kweli?
Watu wanatembea na mambo mengi kichwani. Mtu anaweza kuwa sehemu kimwili ila kimawazo yuko sehemu nyingine kabisa. Yawezekana hata wewe hujaitikia salam za watu huko barabarani😁😁😁😁Maisha haya ni magumu hadi yanatufanya tuongee peke yetu huko barabarani
 
Kama unaishi sehemu kama Dar achana na salamu za hovyo hovyo, unasalimia for a reason, kwanza utasalimia wangapi, kwamba ukifika kariakoo upo busy "mambo vipi wakuu"?
Dar Kukutana watu wanaongea peke yao ni kawaida na siyo kwamba chizi muokota makopo. Yuko mjini kazini kabisa ila anaongea peke yake😅😅😅😅mimi mwenyewe naongeaga peke yangu
 
Hela huna kaka,ngoja hela ikutembelee....hao watu unaotaka wakuone mbona wewe ndo utawakimbia!
Gari yako utapiga tinted muda wote na utajificha ndani kila siku,geti litagongwa sana na simu itaita mpaka utatamani kuizima.
Wewe si unataka kuonekana na watu?
 
Hela huna kaka,ngoja hela ikutembelee....hao watu unaotaka wakuone mbona wewe ndo utawakimbia!
Gari yako utapiga tinted muda wote na utajificha ndani kila siku,geti litagongwa sana na simu itaita mpaka utatamani kuizima.
Wewe si unataka kuonekana na watu?

Hii ipo sana.

Ukifika stage ya kuwa na hela utataka watu wasikuone, halafu watu watakuona hata ukijificha.
 
Dar Kukutana watu wanaongea peke yao ni kawaida na siyo kwamba chizi muokota makopo. Yuko mjini kazini kabisa ila anaongea peke yake😅😅😅😅mimi mwenyewe naongeaga peke yangu
Hii ya mtu kuongea pekeake hii kila mtu anafanya,tunatofautiana kwenye kurusha mikono tu,wengine wanarusha unawaona na wengine wanarusha internally...Na ukiona wewe huongei pekeako ujue wewe tayar ni maiti inayotembea
 
Hii ya mtu kuongea pekeake hii kila mtu anafanya,tunatofautiana kwenye kurusha mikono tu,wengine wanarusha unawaona na wengine wanarusha internally...Na ukiona wewe huongei pekeako ujue wewe tayar ni maiti inayotembea
Mkuu hii ni kweli, wanaogundulika ni wale wanarusha mikono kabisa au wale ambao mkuu hapo mleta mada kawazungumzia kwamba hata ukiwasemesha basi hawatakujibu au watachelewa kukujibu wakionesha walikuwa mbali sana kimawazo.
 
Utawatengenezea taharuki wananchi wadogo wadogo.

Ujue wale wengine hawajazoea kupewa shikamoo, siku wakiona mtu mzima anawapa shikamoo wanaweza kupata kigugumizi kujibu 😂😂
Kuna kipindi kichwa kilikua na mambo mengi , nikawa nikipita nasalimia mpaka watoto wa chekechea (shkamoo)
 
Utawatengenezea taharuki wananchi wadogo wadogo.

Ujue wale wengine hawajazoea kupewa shikamoo, siku wakiona mtu mzima anawapa shikamoo wanaweza kupata kigugumizi kujibu 😂😂
Hiyo mbinu nzuri wanaitumia sana wazee wa hovyo..!! Akiona kamtamani binti anamuamkia ili binti ashangae au acheke ndio anapoanza mtongozo..!! 😹😹

Sasa yeye si anataka kupewa attention atumie hiyo ili ajibiwe hata kwa kicheko..!!
 
Back
Top Bottom