Mbona kama UKAWA imekosa mvuto ghafla?

Mbona kama UKAWA imekosa mvuto ghafla?

Wanaosema mkutano ulipwaya jueni kuwa ile ilikuwa emergency meeting haikuwa kama ya Lowasa

Mmejua Leo sumaye anakwenda UKAWA??? Hqmukufanya nae mazungumzo kwa kina? Kama kwa lowassa?
 
Mpaka october utakuwa umegombana na familia yako yote maana wote wanahama utabak wewe tu
 
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?



Tupeane sababu?

Duu kweli unarudi reverse,unapigana na sauti ya mungu
 
Mmekwisha Ukawa ndio inachana hivyo, ata Sumaye kasema ccm wanajifariji watashinda ila hawasemi kivipi, kasema Ukawa watashinda kwa nguvu kubwa
 
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?



Tupeane sababu?

Mtazamo wako huo ila UKAWA NI BABA LAO NA MWAKA HUU CCM WATAONDOKA MADARAKANI MAANA HAMNA NAMNA NYINGINE
 
Hiyo yenye mvuto kwako mbona hujaiamdika
Ukaandika gumzo la dunia ukawa habari ya dunia hiyooo
 
Mtazamo wako huo ila UKAWA NI BABA LAO NA MWAKA HUU CCM WATAONDOKA MADARAKANI MAANA HAMNA NAMNA NYINGINE

Wanaondokeje? Na sumaye kasema hamana uzoefu wa kuendesha serikali?
 
Ukawa haina jipya, muasisi na aliyetoa wazo la ukawa kaikacha.
 
Vise versa also valid...... tulia hivyo hivyo tukutane October .....
 
MWENGINE KAHAMIA..
MSTAAFU KAMA YEYE..
hahaaaaaaa....
 
Ashasema ccm hakuwa na cheo chochote ndo akaja kutafta cheo, used oil, dirty oil hivo yan

Hana tofauti na yule aliyehama mara mbili ndani ya wiki moja kusaka ukubwa! Siasa za nchi hii ni balaa tupu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom