Kalambo Junior
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 127
- 23
Magamba mbona mnalialia kwani mmejipangaje?
kabisa wanapoteza mwelekeo kwanza kinapokea watu waliokataliwa alafu wao wanawafanya wagmbea wasafi
hakuna jipya. watu wanakimbilia kuona tu halafu wanakitoa. hadi uchaguzi hakuna abiria watakua wamebakia. wamekosea kuanza shoo mapema hadi 25 october watabakia kapa.Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?