Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Pumba ya millennium
Ukawa haina jipya, muasisi na aliyetoa wazo la ukawa kaikacha.
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Sawa mkuu, ila hii yako ni lifetime pumba
Ukikua utaacha
Nawewe hapo kwenye avatar yako unajiona umekua et
Shule zikifungua njoo uchukue ada
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Mtu unaongezewa mshahara halafu wewe unasema huu mshahara umekuwa mkubwa hauvutii?!!Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?
Ukawa inazoa zoa tu halafu kikubwa inazoa ukabila,Chadema wamekiunda vizuri na taratibu ila ulafi sasa mm pole.
Unaiandika halafu unasema inakosa mvuto? Ingekuwa hivo usingeiandika. Mbona hukuiandika CCM?Sijui ni Mimi tu? Naona kama UKAWA inakosa mvuto kadari oktoba inavyo karibia?
Tupeane sababu?