Mbona kama mambo yanajirudia!

Mbona kama mambo yanajirudia!

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Kulikuwa na utawala wenye ukatili wa wazi wazi na matendo yenye kufanana na hapa kwetu.

Ila walipovuka mipaka wakajikuta tumemtoa mpaka yeye.

Kitendo cha kufanya yale yale kuvuka mipaka kitakuja kumfanya kama alivyofanyiwa IDD amin.

Kumbuka hata ZNZ ilisaidiwa na mtu wa Uganda.
 
Hili fumbo ni zito hebu tulegezee kidogo nut weka oil fumbo ni ngumu kulifumbua labda Kipanya anaweza
 
"Mlikuwa na Simba wa Yuda hapa"

Kwa sasa hatusikii tena hivi vijembe! Kabila la Yuda lilikuwa na mnyama gani mwingine tumpe wa sasa?
 
Kulikuwa na utawala wenye ukatili wa wazi wazi na matendo yenye kufanana na hapa kwetu.

Ila walipovuka mipaka wakajikuta tumemtoa mpaka yeye.

Kitendo cha kufanya yale yale kuvuka mipaka kitakuja kumfanya kama alivyofanyiwa IDD amin.

Kumbuka hata ZNZ ilisaidiwa na mtu wa Uganda.
Mithali 28:16
[16]Mkuu aliyepungukiwa na akili huwaonea watu sana;
Bali achukiaye kutamani ataongeza siku zake.
The prince that wanteth understanding is also a great oppressor: but he that hateth covetousness shall prolong his days.
 
Back
Top Bottom