Mbona Jaji Hamidu Mwanga hakuchunguzwa?

Mbona Jaji Hamidu Mwanga hakuchunguzwa?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,468
Reaction score
283,856
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe

Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana wazi kwamba analipwa ili aiumize Chadema hakuchunguzwa? Watanzania siyo Wajinga kiasi hicho.

Ujumbe: Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
 
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe

Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana wazi kwamba analipwa ili aiumize Chadema hakuchunguzwa? Watanzania siyo Wajinga kiasi hicho.

Ujumbe: Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Mkuu wa mhimili mmoja anamuelekeza mkuu wa mhimili mwingine cha kufanya? Faki these mazafakas!
 
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe

Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana wazi kwamba analipwa ili aiumize Chadema hakuchunguzwa? Watanzania siyo Wajinga kiasi hicho.

Ujumbe: Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
History has made it, a nation to be ruled by std 12 failure in this modern era of high technology and higher academic achievement of its majority people.
 
History has made it, a nation to be ruled by std 12 failure in this modern era of high technology and higher academic achievement of its majority people.
Wewe uliyefika chuo kikuu una msaada gani kwa taifa lako zaidi ya kulialia humu JF?.

Bill Gates na Zuckerberg hawakumaliza chuo kikuu lakini wanaajiri kila siku wanasayansi wa juu kabisa wa Havard.

Nchi inapiga hatua kubwa za kiuchumi hivi sasa kwa sababu Rais mwenye elimu ya kawaida anao usikivu akikubali kuzungukwa na wabunifu, tofauti na nyinyi wasomi mnaozeeka mkikosoa wanayofanya wengine huku nyinyi mkishindwa kufanya lolote maishani mwenu.
 
Mwenyekiti wa CCM ndugu Samia, Amenukuliwa akimweleza Jaji Mkuu kwamba Jaji yeyote akitiliwa shaka kwenye utendaji wake basi achunguzwe

Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana wazi kwamba analipwa ili aiumize Chadema hakuchunguzwa? Watanzania siyo Wajinga kiasi hicho.

Ujumbe: Ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Swali letu ni Hili, mbona Jaji Hamidu Mwanga aliyeonekana wazi kwamba analipwa ili aiumize Chadema hakuchunguzwa? Watanzania siyo Wajinga kiasi hicho. 📌🔨✌🏿
 
History has made it, a nation to be ruled by std 12 failure in this modern era of high technology and higher academic achievement of its majority people.
Sisi tunaoenda Nchi za nje tunadhalilika sana tunaposhitukiwa kuwa ni wabongo
 
Back
Top Bottom