Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Sijawahi ona mwanamke akiendesha pikipiki kulikoni akina dada na wamama ,vipi huo usafiri mnawaachia wanaume tu ?!
Sijawahi ona mwanamke akiendesha pikipiki kulikoni akina dada na wamama ,vipi huo usafiri mnawaachia wanaume tu ?!
<br />Nenda Mwanza pale Mkolani kuna demu anaendesha pikipiki a.k.a Boda Boda.
<br />uku tunaogopa<br />
utamaduni uo aupo..watu watakushangaa..ata ukiwa demu wa wana appolo stl ukiendesha watu wanakutolea macho..<br />
<br />
WANAWAKE WENGI BADO MABIKIRA SO WANAOGOPA KUENDESHA HONDA WASIJE WAKATOA BKRA ZAO/ZETU...<br />
<br />
bt me i lke kuendesha honda.....
He!! kumbe....uku tunaogopa<br />
utamaduni uo aupo..watu watakushangaa..ata ukiwa demu wa wana appolo stl ukiendesha watu wanakutolea macho..<br />
<br />
WANAWAKE WENGI BADO MABIKIRA SO WANAOGOPA KUENDESHA HONDA WASIJE WAKATOA BKRA ZAO/ZETU...<br />
<br />
bt me i lke kuendesha honda.....
<br />
<br />
kwani baiskeli haitoi Bikra?
Jirani zangu wawili hapa wanaendesha vile vidogo.....<br /><br />
<br /><br />
mkubwa sijawahi ona pamoja na kuzunguka kwangu kote!
Ahahahahaah!! Rose bhana unanivunja mbavu, ngoja nikalale..inatoa nusu bt pikipiki inakuzalisha kabsa.
<br />inatoa nusu bt pikipiki inakuzalisha kabsa.
<br />Nenda Kamachumu, mkoani Kagera utamkuta mwendesha bodaboda wa kike, Pia katika mji huo, kuna Bibi Shamba naye anatumia pikipiki 110 kwa muda mrefu sana. Pia ukienda Tanga pale ofisi za maliasili kuna mwanamke anaendesha pikipiki kama usafiri wake wa kadaiwa. Tembea uone.