Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 20,598
- 44,423
Wanawake wangeachana tu na haya mambo ya football, mechi zao hazivutii kabisa.
Watu walijaa kuliko mechi ya Yanga wanaume na Tabora United!Wanawake wangeachana tu na haya mambo ya football, mechi zao hazivutii kabisa.
Ewaaa! Aliye juu atusimamie kwa kweeli.



jamaniii mtanii mie sitaki ujue. AaaahHizo mechi huwa ni bure au kiingilio kidogo ili kuziboost.Watu walijaa kuliko mechi ya Yanga wanaume na Tabora United!
Yanga kashinda 1-0. Simba bado ina nafasi kubwa ya kuwa bingwa ila msimu ukiisha iachane na wakongwe kina Corazone. Nadhani kuna matabaka katika hii timu na ufaza au niseme umaza.Mwenye update za leo?
Kipigo kimoja mmeanza kufukuzana! Tarehe 8 ilikua zaidi ya hapaYanga kashinda 1-0. Simba bado ina nafasi kubwa ya kuwa bingwa ila msimu ukiisha iachane na wakongwe kina Corazone. Nadhani kuna matabaka katika hii timu na ufaza au niseme umaza.
Tunaomba mwenye updates please! Nasikia eti leo pia wamecheza! 🥵Nawasha TV nakuta Kuna mechi kati ya Yanga Princess na Simba Queens kwenye uwanja wa KMC.
Mpaka Sasa naona tayari Simba Queens wametangulia moja bila dhidi ya Yanga Princess.