Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Jana Obama alisema kuna viongozi wako madarakani baada ya kuchaguliwa na wapigakura lakini kuna viongozi wengine ambao wako madarakani kwa kuchagua wapigakura. Anasema hata mgawanyo wa majimbo ya uchaguzi katika 'demokrasia' hiyo ya wachache, hulenga katika kufanikisha chaguo la kiongozi badala ya chaguo la wapigakura!
Yaani shida!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom