Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Vipi huko mtaa wa pili ufipa hali ikoje kwa sasa?
Lissu kapona
FB_IMG_1530605193400.jpg
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Lissu hutoa maneno pasipo kueleweka vizuri kwa wapinzani wake kwa wakati huo, lakini kwa baadae mwisho huwa wanamuelewa vizuri sana, alianza kuwaambia ni namna gani taifa linaibiwa kupitia mikataba miaka ya 1998+ wakamnanga sana kwa maneno ya kejeli hadi wakamtia ndani miezi 3 akipinga dhuluma dhidi ya wananchi wa nchi hii waliokuwa wananyonywa kupitia mikataba mibovu iliyoingiwa na serikali, mwaka jana/juzi tena aliwaambia ukweli juu ya huyu mtu wao kuwa anapambana na wapinzani, lakini akimalizana na wapinzani atawashughulikia wao, leo hii yametimia
 
Lugumi alishasulubiwa kwa kunyang'anywa mali zake na kupigwa mnada. Hukumu na adhabu aliyokwisha pata Lugumi inatosha... Kama mtanzania mkosaji ameshaadhibiwa. Utoaji wa haki unakataza kutoa adhabu mara mbili kwa kosa moja...
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Nabii Tundu Lisu, a super intelligent man!. Ugua pole Lisu, Mungu anakusimamia, tunakuombea (walitukataza tusikuombee), lakini tunakuombea na Mungu anasikia sala zetu. Nimeona mazoezi yako yanaleta matumaini ya kutembea hata kwa magongo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom