Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Ha ha ha, bado unababaikia kizungu?Fine, kumbe kizungu kinapanda, vema
Ha ha ha, bado unababaikia kizungu?Fine, kumbe kizungu kinapanda, vema
Anashughulikia waovu ama wawe ndani ya CCM,nje ya CCM na wasio na vyamaUle utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......
Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu
Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli wa nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Kuna uovu kama kudanganya jina kwa vyeti vya mwenzako? maana kama DAB angechukua cheti cha daktari si ndio hao wana pasua kichwa badala ya goti? mbona yeye anamwambia chapa kazi mwanangu!Anashughulikia waovu ama wawe ndani ya CCM,nje ya CCM na wasio na vyama
Hayo ni majungu ya Chadema tu,mwenye jina hilo si ajitokeze...!!!Kuna uovu kama kudanganya jina kwa vyeti vya mwenzako? maana kama DAB angechukua cheti cha daktari si ndio hao wana pasua kichwa badala ya goti? mbona yeye anamwambia chapa kazi mwanangu!