Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Tutaona na kuskia mengi
It doesn't matter. Nest or next .... msg sent!!...nest generation?
Ndio matatizo ya ulimbukeni wa kujifanya unajua sana kizungu haya. Duh.It doesn't matter. Nest or next .... msg sent!!
Nimebarikiwa sana na tabasamu la huyo askari; body language speaks louder than a prepared speachHuyu mtu amebarikiwa kipajiView attachment 801649
Mkuu hata ndani ya chama tawala wapo wengi sana wanao mkubali mh Lissu sema tu mikono yao imefungwaNimebarikiwa sana na tabasamu la huyo askari; body language speaks louder than a prepared speach
Very soon wataanza kutajana niyupi alifanya nini ya kuonea wapinzani maana mungu siyo AthumanMa ccm yanatumbuana
Swissmelove
Kuwa lumumba fc ni pigoNdio matatizo ya ulimbukeni wa kujifanya unajua sana kizungu haya. Duh.
Wengine tayari wameshaanza kuonja joto ya jiweKivuli cha Lissu kinawanyemelea watu.
kwa wizi wa kura na vitisho vya majeshi?Ccm ipo imara kukamata dola 50 years to come... Pole
Nasikia kuanzia wiki ijayo nyie lumumba fc posho yenu inapunguzwa toka 7000 kwa siku hadi 3000Wewe mpuuzi ukishakariri Kiingereza ndio unajionaa. Eti 'reptile' ha ha ha.
Macho yapo lakini hayaoni ... na hiyo imeandikwa kwenye misaafu!Ccm ipo imara kukamata dola 50 years to come... Pole
Ufipa ndio itafutwa kabisa.Utapata tabu sana.Nasikia kuanzia wiki ijayo nyie lumumba fc posho yenu inapunguzwa toka 7000 kwa siku hadi 3000
Nitakupatia ajira ya kuwakatia ng'ombe wangu majani ya kula na nitakulipaUfipa ndio itafutwa kabisa.Utapata tabu sana.
Huna lolote wewe hohehahe.Nitakupatia ajira ya kuwakatia ng'ombe wangu majani ya kula na nitakulipa
Kwi kwi kwi kwi kwiHuna lolote wewe hohehahe.
Siyo ulimbukeni. Kizungu nakijua ......... Tatizo ni nyinyi mnaoangalia typo errors!!Ndio matatizo ya ulimbukeni wa kujifanya unajua sana kizungu haya. Duh.
Utaacha baadhi humu waangue kilio bure! Kwa hizo 7 wamegongewa sana huko majumbani na wauza genge itakuwa tatu?Nasikia kuanzia wiki ijayo nyie lumumba fc posho yenu inapunguzwa toka 7000 kwa siku hadi 3000
Mwenye chama anabana matumiziUtaacha baadhi humu waangue kilio bure! Kwa hizo 7 wamegongewa sana huko majumbani na wauza genge itakuwa tatu?
Hizo watagongwa na wenyewe!