Sasa hivi kwenye CCM hakuna mwenye jeuri ya aina yoyote mbele ya JIWE! Maana wote wanamtegemea Jiwe ku-survive! SAD BUT TRUE. Tatizo la hawa vijana Nape, Mwigulu et al, hawajui/hawakujua kusoma alama za nyakati. I repeat no one in politics is indispensable. Na wakipigwa chini ubunge 2020..wajipange wakatafute maisha kwingine!
Nikimkumbuka Nape alivyokuwa anaongea kwa jeuri. Mwigulu thought he owned the country! Wako wapi?
Wakati si milele. Ukiwa na madaraka bila HUMILITY huwezi kufika popote. Na JIWE atawafukuza wengi tuu. Hata wale wanaojifanya kuitetea CCM mpaka mishipa inawavimba. It is a matter of time.
Ushauri wangu kwa WOTE walioko kwenye serikali ya JPM: JIWE hana Rafiki! Narudia tena. JIWE hana Rafiki.
Masanja,