Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Mbona ghafla CCM imeingiwa ganzi?

Lissu hutoa maneno pasipo kueleweka vizuri kwa wapinzani wake kwa wakati huo, lakini kwa baadae mwisho huwa wanamuelewa vizuri sana, alianza kuwaambia ni namna gani taifa linaibiwa kupitia mikataba miaka ya 1998+ wakamnanga sana kwa maneno ya kejeli hadi wakamtia ndani miezi 3 akipinga dhuluma dhidi ya wananchi wa nchi hii waliokuwa wananyonywa kupitia mikataba mibovu iliyoingiwa na serikali, mwaka jana/juzi tena aliwaambia ukweli juu ya huyu mtu wao kuwa anapambana na wapinzani, lakini akimalizana na wapinzani atawashughulikia wao, leo hii yametimia
Watapata taabu sana
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Mtapata taabu sana. Rifanye kazi yetu tu mambo magumu
 
Kutakuwa na mushkeri kusini, kaskazini, magharibi, kusini magharibi na kati singida. Majeruhi wengi wako kimya wanagugumia. Sizitaki mbichi hizi ya wakubwa wa ccm ...
 
Ule utabiri wa Tundu Lissu waanza kutimia......

Alitamka maneno yafuatayo miaka michache ya nyuma " Ameanza kushughulikia upinzani, akimaliza huku atakuja kwenu CCM " mwisho wa kunukuu

Kutokana na hotuba aliyotoa Rais Magufuli Jana Ikulu, ni nani atakuwa na ubavu wa kupinga kuwa utabiri wa Mwanasiasa nguli ya nchi hii, Tundu Lissu haujaanza kutimia?
Bado kuna wengine 27 wako kwenye list. Mavi yanagonga chupi.
 
Kitendo cha kumgalagaza Mwigulu na matisho ya Mwenyekiti wao kwa Wabunge na hatua anazotaka zichukuliwe kwa walo fanya ufisadi wa Lugumi, magari ya Polisi, NIDA nk nk mbona imeleta taharuki sio mitandaoni tuu hata mitaani kwa wapiga debe wa CCM kutulia kama wana malaria?

Pia kitendo cha kada wao Zakaria kuwatwanga risasi wasiojulikana kisha wakajulikana na kuleta taharuki kati ya uongozi wa CCM mkoa wa Mara na Tarime huku wakibishana na viongozi wa serikali kimeonyesha kufanya utetezi maandazi kwisha nguvu?

Au ndio zile njozi za kuwa chinja chinja wa hili dubwasha atatokea ndani mwao ili wa nje wasipate dhambi ya kuua chama hiki kilichokuwa cha ukombozi?
Nchi nzima sasa imetamvua wazi pa si na shaka nani hao WASIOJULIKANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom