20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Hizi ni siku tofautiKaribu mwezi sasa hali ya barabara haifai. Hapa nasikia Bagamoyo Road hakufai, Morogoro Road hakufai, Kilwa Road hakufai. Tatizo nini na tumeambiwa watu wamehamia Dodoma? Kuna watu hawafanyi kazi zao ipasavyo.

