ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,141
- 951
coconut fm zanzibar yatimiza miaka 5:
Miaka yote 5 kwa "KAMPUNI" hakuna kilichopatikana hata kuwezesha kufanya Maadhimisho kwenye mandhari ya kuvutia kidogo!! duh...
Miaka yote 5 kwa "KAMPUNI" hakuna kilichopatikana hata kuwezesha kufanya Maadhimisho kwenye mandhari ya kuvutia kidogo!! duh...
Timu ya redio Coconut Fm 88.2 Fm Zanzibar
Mmoja wa watangazaji wa Coconut Fm 88.2 Zanzibar, akimlisha keki mmoja wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd, ambao ni wamiliki wa kituo hicho kwa niaba ya Uongozi wa Kampuni pamoja na Clouds Media Group.
Mmoja wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions, ambao ndiyo wamiliki wa Redio Coconut Fm 88.2 Zanzibar Godfrey Kussaga akimlisha keki mmoja ya watangazaji nguli wa Redio Coconut Fm 88.2 Husna B.
(C) MICHUZI