toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
mbona wote wana sura za bara. Waliogopa kufanya pati kubwa wangeshambuliwa na kunyanyapaliwa
we ndio unatatizo na utambuzi wa fahamu zako,sijui shule na akili yako kama vipo sawa.
Vp watafuta bwana wa kipemba au? niPM tuyamalize kiutu uzima.Code:Inauzwa msikitini!!Code:
Ndo mimi nashangaa hiyo redio ni ya 'wabongo' imeletwa visiwani na wabongo kama wanavyotuletea malaya wao, baa, ngoma za kibaradhuli (kiduku) n.k iweje tena lawama za maandalizi mabovu ziwaendee kwa wasiohusika...mulizeni kusaga kulikoni?
toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Ni kweli kabisa mkuu,yaani mimi naomba siku moja muungano ufe na Tanganyika yetu irudi!!toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Hawana kitu mkuu!siyo kama wanabana matumizi!the best way is to maximize revenue to meet you expenditure,but not to minimize your expenditure to meet you revenue!!Wanatumia kidogo kilichopo kwa hekima, wakimaliza kesho watakula nini?
Ama kweli mwisho wa dunia umefika! Nyinyi muliokuja kujifunza kuvaa nguo na kutawadha huku ustaarabuni ndiyo munajiona mumewahi?
Kwanza mumewacha kulala kwenye mabanda pamoja na mbuzi na ng'ombe hapa mjini?