Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,854
Labda babu tale anawezaHawa vilaza waliwekwa pale na jiwe. Hivi ni mbunge nani pale anauwezo wa kuchambua ripoti ya CAG
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda babu tale anawezaHawa vilaza waliwekwa pale na jiwe. Hivi ni mbunge nani pale anauwezo wa kuchambua ripoti ya CAG
Wanaolalamikia siyo bavicha bali ni watanzania. Marehemu ameondoka lakini madhara ya utawala wake yataendelea kuliumiza Taifa kwa miaka mingi.Jamani bavicha kwani si matatizo yote kaondoka nayo Magu? Na sasa mambo yako poa na mmejishajitoa utumwani.?
Wewe dada achana na mimi hilo ndilo jina langu! Kama wewe jina hilo la dawa ya kuponya kaswende! Sijui uliuguaga kaswende!Wewe futa hiyo Id utaandamwa na mikosi
Sasa si muuondoe maana sasa mambo ni poa! Kama ulayaBungeni kaacha uchafu wake bado
😆😆 Ni ushauri tu mkuu hakuna haja ya kunipiga risasiWewe dada achana na mimi hilo ndilo jina langu! Kama wewe jina hilo la dawa ya kuponya kaswende! Sijui uliuguaga kaswende!
HAKUNA 🙄...Hivi ni mbunge nani pale anauwezo wa kuchambua ripoti ya CAG?
Spika mwenyewe ni mtu wa mipasho mipasho, unategemea kupata kitu genuine humo!! Juzi tu mwendazake kaondoka Spika huyo huyo kapiga U-turn kuhusu Bandari ya Bagamoyo - unafiki ni fani ndugu.Si siri tena ,sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.
Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana,, halipo kiufundi lenye kujielewa,yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni ,yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.
Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
mfano rahisi ni ule wa wale madada wawili juu ya kumtukuza raisi Magufuli hadi kupitiliza mmoja akipinga mwengine akiunda mkono,kama unavyowajuwa wadada hawakawii kupania nguo,na walishaanza mimi wewe mkubwa wangu na yule mwengine wewe kama mama yangu,spika linachekelea tu,yaani ni aibu kuu.Kwa tusio angalia unaweza ukatupa vivid examples ?
Sisi kama watu wa nchi ni waajabu kwa lipi,...?Si siri tena ,sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.
Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana,, halipo kiufundi lenye kujielewa,yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni ,yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.
Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Duh kwahio kuna mtu alikuwa bado anamtukuza Mwendazake (mi nilidhani hawa wachumia tumbo utukufu utakuwa umeelekezwa pengine) au wanaugawa kwa wote ? Anyway mimi hawa wanasiasa ni mwaka takribani wa kumi sasa nilishaacha kuwafuatiliamfano rahisi ni ule wa wale madada wawili juu ya kumtukuza raisi Magufuli hadi kupitiliza mmoja akipinga mwengine akiunda mkono,kama unavyowajuwa wadada hawakawii kupania nguo,na walishaanza mimi wewe mkubwa wangu na yule mwengine wewe kama mama yangu,spika linachekelea tu,yaani ni aibu kuu.
yaani maneno ya vibarazani kwenye vikao vya kahawa.
Ongeza ubani....😂
Nileteeni Gwajimaa! Inhiiiiiiiii,msipomchagua tusilaumiane.Hili ndio bunge hovyo kupita yote tangu uhuru na sidhani kama litakuja kutokea lingine kama hili
Hatutaki kuwa kama Ulaya. Magufuli kila sikua alikuwa anasema anataka Tanzania iwe kama Ulaya lakini kaacha maumivu kila mahali. Sisi tunataka tuwe kama Tanzania. Huo uchafu utatoka tu. Hiyo isikupe Wasiwasi.Sasa si muuondoe maana sasa mambo ni poa! Kama ulaya
Hilo siyo Bunge ,ni kikao cha Mataga.Si siri tena ,sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.
Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana,, halipo kiufundi lenye kujielewa,yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni ,yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.
Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.