The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,211
- 17,361
Wengi waliingia hapo kwa ajili ya JPM ili kufanya kazi maalumu za JPM ..... Sasa si unajua tena Mchungaji akiondoka nini kitatokea kwa Kondoo .........!!
Ni kwa vile kuna COVID-19 humo. Nasikia hao wote ni virusi jike!!Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.
Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.
Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
"Rais alishauriwa vibaya "
Uhovyo wa bunge unatokana na uhovyo wa kiongozi wa bungeSi siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.
Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.
Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Hapo umepiga nyoka kichwani. Manaa wameingia bungeni bila malengo, matokeo yake ndio hayo, wapoga kelele badala ya kujenga nchi.Lazima uone hilo maana hata ingia yao humo ilikuwa ya kimashaka tupu!