Mbona Bunge limevurugika?

Mbona Bunge limevurugika?

Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Kilichowaunganisha wabunge wa CCM ni vyama vya upinzani.
Upinzani haupo sasa, nao hawana lao!
 
Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
ni studio ya bongo fleva
 
Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Mataga mmekuwa wepesi sana kusahau,wakati mnashangalia ushindi wa kishindo wa Wabunge wote Nchi nzima mlikuwa mnategemea nini?
 
Kuna matatizo katika Serikali. Serikali mpya inazaliwa katika hali ya matatizo.
Nguvu kubwa inahitajika kuweka mambo sawa kwa sababu hii ni Awamu mpya.
Lakini bado sijaona Bungeni kuna nini .
HAKUNA FEELING SASA HIVI KWAMBA NCHI INA KIONGOZI.
Dictator amekuja, ameondoka,watu Sasa wamepigwa na butwaa.
 
Hii kweli inapelekea hata wasiokuwa na hadhi ya kuwa wabunge wanagombea na wao.Wanajua kusutana sutana tu ndiyo kazi ya mjengoni.Wala siyo kujenga hoja
 
Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Bunge kulikosa radha mapema sana
 
Unakumbuka kauli yake bila yeye wabunge wasingerudi bungeni, so tuna uchafu wake umebaki
 
Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Kwani Baba Askofu alisemaje kuhusu Bunge letu pale msibani chato?
Anaekumbuka atueleze.
 
Si siri tena, sasa hivi kunaonekana mpasuko mkubwa ndani ya bunge kiasi inakuwa aibu kuangalia na watu inakuwa kama tunaangalia mpira na makelele ya kushangilia.

Ni kwanini bunge letu linakosa heshima na limekaa kiumbea umbea kiudaku udaku kusutana sutana, halipo kiufundi lenye kujielewa, yaani ukisikiliza inafikia wakati hujui ucheke au ulie halina tofauti na mastori ya kijiweni, yaani unajikuta hivi hivi upo na mastori ya kijiweni mmekaa pamoja.

Naanza kuamini kama nchi yetu na watu wake ni wa ajabu ajabu.
Dhambi ya asili (uchafuzi) inawatesa.
 
Lile sio bunge ni kijiwe cha wahuni na mazezeta wapiga porojo,
Mwisho wa siku wanachukua hela zetu na kwenda kuloga kwa waganga
 
Back
Top Bottom