Mbona App yangu ya SMS imekuwa kama WhatsApp?

Hii ya siku nyingi tu, lamda kama huwa huitumii ndio umegundua sasa.

unaweza ukaunda grp la watu wengi ukituma mesejo moja tu inawafikia.

Hata zile meseji zinazotoka voda, tigo au airtel zote wameunda magrp
Kumbe. Basi ushamba wangu.
 
My favorite rival, punguza kiherehere 😆🤒.
👉 We ni fundi simu😆🤣🤒
Umemkosea muulizaji.

Si kila simu ina utaratibu huo.

Mfano Samsung, unaandika msg katika kutuma unatik multiple #s unazotaka wapokee hiyo msg bila ya kutengeneza group.

Lakini simu kama Itel na nyingi za mchina, ukitaka kutuma msg moja kwa watu wengi zinakutaka utengeneze group.

Na ukisharusha hiyo msg, group hilo waweza kulifuta vile vile.
 
Umemkosea muulizaji.

Si kila simu ina utaratibu huo.

Mfano Samsung, unaandika msg katika kutuma unatik multiple #s unazotaka wapokee hiyo msg bila ya kutengeneza group.

Lakini simu kama Itel na nyingi za mchina, ukitaka kutuma msg moja kwa watu wengi zinakutaka utengeneze group.

Na ukisharusha hiyo msg, group hilo waweza kulifuta vile vile.
Tuna Juana bhana, don't take it personally 😁😀
 
IMG_7995.png

Like this, huo ujumbe uliwafikia zaidi ya watu mia.
 
Back
Top Bottom