ushasema yule kuku,ngombe,bata na huyo mpenzi wako,anakusitiri mengi huwezi yapata kwa kuku ndio maana huna kinyaa na mbolea yake
sijambo babu,mie mwenyewe nimeachwa pugu road si unajua vijana wa siku hizi,wana maneno mengiiiShosti hujambo?
Hii mbolea inayozungumziwa hapa ndo ipi?
Shosti hujambo?
Hii mbolea inayozungumziwa hapa ndo ipi?
Naombeni ushauri. Napata kichefu chefu nikiona mbolea hata ya kuku kama siyo ya binadamu. Ila ya mpenzi wangu hata kushika ainipi tabu. Je huu ni ugojwa?
sijambo babu,mie mwenyewe nimeachwa pugu road si unajua vijana wa siku hizi,wana maneno mengiii