adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,588
- 7,769
Tulipanga pahala for 2 years hatukujua kununua mboga mboga,nyanya,vitunguu..mwendo wa kubadili tu😀😀😀Unapo kaa ndio kwako , unapokaa ukipatumia vizuri panakuokolea pesa nyingi sana , ukingia youtube unajifunza njia nyingi sana za kurahisisha maisha kwa kujifunza njia za kuzalisha mboga , samaki na nk kwenye eneo dogo.
Dahh umejiwahi sana kakaake, wakati nataka kukuomba mbegu nipande kwangu nione itakuwaje baada ya miezi kadhaa🫠Nilipewa mbegu za mboga ya majani na babu fulani nikapnda kwangu kwenye fence ,sasa kila zinavyokuwa naona kabisa hii ni bangi ,nikamfuata mzee kumuuliza hizi mboga ulinipa ni mboga gani akasema ni SUNGWI mh .
Nikajipa muda walau ziongezeke ,juma lililopiita naziangalia ni bangi kabisa ikabidi nichume kidogo nianike nione je zitakuwa kama bangi kavu .?
Jana rasmi nimehitimisha ni bangi kweli baada ya kujaribu kuwasha moto hivyo niseme kuwa kilimo ni kigumu sana nyumbani bora kununua tu maana unaweza kulima nyumbani na ukajikuta umeingia mgogoro na serikali bila kujua .
Nb:siuzi na wala asinifuate yeyote sababu mimi nina uchunguzi naufanya hivyo hata serikali isije najaribu kutaka kuona kweli nitakuwa kichaa au hapana
Safi, mboga na hata samaki hapo hapo ulipo kama kuna maji ya kutosha unaweza Lima, kwenye mboga hata kama maji ni machache unaweza fanya local drip irrigation kwa njia za kawaida tu , ukala mboga zako na ukauza ,ukakuza kipato.Itapata kutu!
Sawa utanitumia link nianze kilimo cha mbogamboga!
Wakishua dagaa zinanisubiri nikatoe vichwa😕wakishua
Kama ni kupanda tu naweza, ila kama kuna mbwembwe nyingine sitaweza!Safi, mboga na hata samaki hapo hapo ulipo kama kuna maji ya kutosha unaweza Lima, kwenye mboga hata kama maji ni machache unaweza fanya local drip irrigation kwa njia za kawaida tu , ukala mboga zako na ukauza ,ukakuza kipato.
si mchezoo, watu watu wanabuni mbuni everydayWatu wanawaza biashara na pesa tu badala ya afya zetu. Kujilimia mwenyewe nyumbani ndio suluhisho pekee lililobaki kwa sasa, vinginevyo tunaendelea kulishwa magonjwa mchana kweupe
huku kwetu hata hao vichwa ni mboga,, si unaona ulivyo wa kishua wajameni🤗😅Wakishua dagaa zinanisubiri nikatoe vichwa😕
Safi sana mkuu, niliwapa elimu ya ufugaji na kilimo vijana wakadai ni kazi za wastaafu kwangu hata majiko ya gesi natumia mbolea ya mboji , matumizi ya umeme yanakua madogo mnoTulipanga pahala for 2 years hatukujua kununua mboga mboga,nyanya,vitunguu..mwendo wa kubadili tu😀😀😀
Sitaki ,wacha nimalize uchunguzi wangu ,wahitaji wote mtapata mbeguDahh umejiwahi sana kakaake, wakati nataka kukuomba mbegu nipande kwangu nione itakuwaje baada ya miezi kadhaa🫠
Unikumbuke wa kwanza braza!Sitaki ,wacha nimalize uchunguzi wangu ,wahitaji wote mtapata mbegu
Yeah unasia kwenye vitalu zikikua unahamisha kwenye mifuko, mbegu za mboga mbalimbali mfuko ni sh 3000 tu , pia unaweza andaa mbegu zako mwenyewe kwa baadhi ya mboga na nyanyaKama ni kupanda tu naweza, ila kama kuna mbwembwe nyingine sitaweza!
Hapa hatuongelei biolojia ya asili ya kuoza, tunazungumzia sumu za kitabibu (chemicals) na metali kutoka kwenye maziko zinazoingia kwenye udongo. Kama unataka kufananisha maiti za watu na samadi ya ng'ombe ili mradi tu ule, shauli yakoSasa binadamu ameoza, samadi ya binadamu ikioza ina kemikali gani? [emoji4]
Ugali na mawashio vina kuhusu 😃huku kwetu hata hao vichwa ni mboga,, si unaona ulivyo wa kishua wajameni🤗😅
Nitakapokuuzia alafu nikapita mlango wa pili kuhitaji hela kwako ni hapo utakuja kuandika uzi hapa kuna watu ni masnitch sana chini ya juaUnikumbuke wa kwanza braza!
Nitumie mbegu nianze rasmi, Am inspired!Safi sana mkuu, niliwapa elimu ya ufugaji na kilimo vijana wakadai ni kazi za wastaafu kwangu hata majiko ya gesi natumia mbolea ya mboji , matumizi ya umeme yanakua madogo mno
Unielezee kiundani hapa!Yeah unasia kwenye vitalu zikikua unahamisha kwenye mifuko, mbegu za mboga mbalimbali mfuko ni sh 3000 tu , pia unaweza andaa mbegu zako mwenyewe kwa baadhi ya mboga na nyanya
😀😀😀 ata matembele mara ya mwisho kula itakuq hakumbuki !wakishua 🤣🤣🤣 ila usimwambie mtu plzz