Mwenzio kajoin tangu 2013Kwa uandishi huo,naomba nikuulize,
Huko Fesibuku umeacha wote hawajambo?
Labda kanunua simu mpya ndio anajaribisha kama inaweza kupost thd JF.Mwenzio kajoin tangu 2013
Hii ndio ile maana halisi ya mtu kuzeeka na ujinga wake...mtu ana miaka 10 humu halafu anaandika 'habar zenyuuu'
Better late than never✅Hapanaaaaaa!nilisahau so leo nimekumbuka ''better late never''kama tunakubaliana haina mantiki sawa.
Mwenzio kajoin tangu 2013
Hii ndio ile maana halisi ya mtu kuzeeka na ujinga wake...mtu ana miaka 10 humu halafu anaandika 'habar zenyuuu'
Better late than never ✅Better late than vever✅
Better late than never ni sahihi kabisa wala haina shida.Better late than ever ✅
Sahihi mkuu ✅Better late than never ni sahihi kabisa wala haina shida.
Hahahhah nimejaribu kujitoa meno ya mbele halafu nikajaribu kusema zenu 😃In real life ako na mapengo ya mbele, kuna baadhi ya maneno anatamka kama hivyo...
View attachment 2711733
Hahahhah nimejaribu kujitoa meno ya mbele halafu nikajaribu kusema zenu 😃
Hahah...utaitamka kama mpareee wa ugweno