Page 94
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 5,205
- 15,162
Kwa uzi kama huu ni mbaya kujibu PM maana huku kuna Usalama wa Taifa, Kuna polisi aka Watoto wa Kamanda Siro, kuna wenye nia nzuri pia. Tatizo kwa ID zetu huwezi kumjua yupi ni yupi hivyo unatakiwa utulie tu..... Unaweza kujibu kumbe unajilengesha kwao. Kitakachofata ni Historia.Mkuu Naomba unipe Elimu kidogo hivi madhara ya kujibu PM ni yapi??